Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Mie ushauri wa mapenzi sina kwa kweli siku hizi. Nikiangalia jinsi mahusiano yangu yanavyoniendesha sitaki mtu apitie.
Sasa mbona una muda wakumuanzishia thread hapa🤣🤣🤣🤣 huu muda ungeweeka kwenye kumgomba ia angekuwa wako saa hii unapelekewa moto tuu na kuenjoy mapenzi.Sina huo mda aiseee kuanza kugombania wanaume
Kwa kifupi ni hivi. Wewe unadhani anakupenda sana, lakini ukweli hakupendi sana ila wewe ndiwe unayempenda sana. Mwanamme akimpenda sana mwanamke, hawezi kumwacha na kuanza uhusiano na mwanamke mwingine. Na hata kama akipotoka, ikijulikana basi atakata mahusiano mara moja ili asimpoteze yule aliyempenda. Kama kweli tatizo lako siyo la kutunga ili kufuarahisha forum, basi kuna siku utakuja kung'amua ukweli.Ananipenda sana ila mm ndo nimeshindwa kuvumilia maumivu tinatofautiana mioyo rafikiyangu na hata huyo alomrudia inaweza kuwa umbali pia ndo sabbu au weakness ndogondogo za kibinadamu lakni Mimi ndo nimeshindwa sijaiweza kuhandle maumivu
Sawa lakn nahis Bado Nina nafas ya kuanza upya nimepokea ushauri wako 🙏Kwa kifupi ni hivi. Wewe unadhani anakupenda sana, lakini ukweli hakupendi sana ila wewe ndiwe unayempenda sana. Mwanamme akimpenda sana mwanamke, hawezi kumwacha na kuanza uhusiano na mwanamke mwingine. Na hata kama akipotoka, ikijulikana basi atakata mahusiano mara moja ili asimpoteze yule aliyempenda. Kama kweli tatizo lako siyo la kutunga ili kufuarahisha forum, basi kuna siku utakuja kung'amua ukweli.
SawaSasa mbona una muda wakumuanzishia thread hapa🤣🤣🤣🤣 huu muda ungeweeka kwenye kumgomba ia angekuwa wako saa hii unapelekewa moto tuu na kuenjoy mapenzi.
Narudia tena usiwasikilize wakina Kelsea na Mahondaw ...wenzio usubuhi walishapigwa na de libolo na usiku baada ya prika za kukudanganya hapa jf watatuliza fuvu kwenye garden love za waume zao
Nimekuelewa ila kiasili Sio muongeaji Sana na huwa Niko cool Sana nimeandika Uzi sabbu ya kitu kilishatokea na nitamni matokeo chanyaSasa mbona una muda wakumuanzishia thread hapa🤣🤣🤣🤣 huu muda ungeweeka kwenye kumgomba ia angekuwa wako saa hii unapelekewa moto tuu na kuenjoy mapenzi.
Narudia tena usiwasikilize wakina Kelsea na Mahondaw ...wenzio usubuhi walishapigwa na de libolo na usiku baada ya prika za kukudanganya hapa jf watatuliza fuvu kwenye garden love za waume zao
Anza upya ila uninga wa kidate mwanaume miaka mitatu huku mkiwa long distance achana nayo. Kuwa na mwanaume benetSawa lakn nahis Bado Nina nafas ya kuanza upya nimepokea ushauri wako 🙏
Kila mtu ana love story haziwez fanana uwe karibu uwe mbali km ni furaha itakuwepo km ni maumivu hayaepukiki muhimu kilamtu anamapito yake ambayo lazima apitieAnza upya ila uninga wa kidate mwanaume miaka mitatu huku mkiwa long distance achana nayo. Kuwa na mwanaume benet
Usilete tamthilia za kichina hapa bongo itakula kwakoKila mtu ana love story haziwez fanana uwe karibu uwe mbali km ni furaha itakuwepo km ni maumivu hayaepukiki muhimu kilamtu anamapito yake ambayo lazima apitie
Jamani nyie de libolo tamuAcha kumjibu.. hata akitumia namba mpya..
Ukiona ni sms zinatoka kwao, on the spot futa.
Ila hizo sms ndefu unazomwandikia/ mjibu inaonyesha hujamove on completely.
Ukikumbuka how shit was sweet kiranga kinaamka 😂😂Jamani nyie de libolo tamu
Utamu utam unamchanganya mrembo sophyyyyyyyUkikumbuka how shit was sweet kiranga kinaamka 😂😂
Hasira wapi tena mie nakwambia ukweli wa mamboNow unahasira sana
Mwanaume anayekupenda hawezi kukupa maumivu siku zote atapamba uwe na furaha.Ananipenda sana ila mm ndo nimeshindwa kuvumilia maumivu tinatofautiana mioyo rafikiyangu na hata huyo alomrudia inaweza kuwa umbali pia ndo sabbu au weakness ndogondogo za kibinadamu lakni Mimi ndo nimeshindwa sijaiweza kuhandle maumivu