Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Sasa jamani mume wa hivyo jamni si mtihanii
Huyo mwanaume anaruhisiwa kuoa mpaka wake wanne...wacha sophy aende akaolewe. Nyie wakati wa baridi mna nature blanket, mnataka mwenzenu akumbtie mito
 
Aisee, kumbe. Ndio maana basi[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]Umefikaje huku wew
[emoji23][emoji23][emoji23] leo nimepata kaufree time aisee, ndio ghafla nimeota nikajikuta nimefika. Sasa dada yangu, kumbe unamawazo yote hayo halafu hutaki kusema unatusagia sumu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23] leo nimepata kaufree time aisee, ndio ghafla nimeota nikajikuta nimefika. Sasa dada yangu, kumbe unamawazo yote hayo halafu hutaki kusema unatusagia sumu tu[emoji23][emoji23][emoji23]
Unanisingizia 😂😂😂mm navowapenda nyie
 
Pole sana sophy27 kwa tukio uliopigwa na jamaa wewe ni mwanamke Mrembo sana na nilishawahi kukwambia na upo smart kichwani wanaume ni wengi sio lazima umn'gan'ganie jamaa Cha msingi tulia na kata mawasiliano na jamaa pamoja na familia yake hiyo ndio solution pekee tofauti na hapo jamaa atakuwa anakufatilia kujua relationship status yako ipo vipi na mambo mengine
 
Iyo ndo shida namba moja naiona sidhani km tungekuwa karibu tungefikia hiv pia mm mwajiriwa kurudi huko ni. Changamoto lkn ndo maisha
Kwani huyo mtu yupo mkoa gani na wewe upo mkoa gani?
 
Thanks a lot
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…