Ushauri: Napata uzito ku-move on, niongezeeni mbinu

Sijui Nani kaninganyanga Hilo tunda langu[emoji22]
 
Moja ya wanaume ninao waonaga ni mabwege ni wanaume wa sampuli hiii.

Yaani mwanaume yoyote anae haribu mitego ya mwenzie kwenye kudaka mbususu ni bwege anae karibia kuwa shoga.

Bro tangaza sera zako ukubaliwe ....punguza umama
Mkuu,
Ukimchukulia Sana serious mzabzab utajipa tabu Sana, huyo jamaa masihara mengi[emoji28]
 
Usipojifunza utafunzwa ila duniani usipojitunza hakuna atakayekutunza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…