Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 48,444
- 194,235
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ Mwenzenu bado anapenda
๐๐ Hayo ni yako mimi sijasema.
๐๐ Tukijashtuka jua lishazama.Wee acha tu sijui tunakuwa vichwa tumepeleka wapi sijui ni ile unajifanya unavuta subira kumbe mwenzio ana lake kichwani ๐คฃ
Mwanamke akikuzidi mkwanja jiandae labda awe anajitambua sana vinginevyo utapasuka. Alafu wanaume mna ile kujihami mkipishana padogo utaskia sababu ana hela ndio mana ananidharau yaan hata kama hudharauliki ila wengi huwa mnatafsiri hivyo na mabalaa ndio yaanza hapo.Ukipata aliyekuzidi kipato shikilia hapo hapo ilimradi utelezi unapata....maana mapenzi ni kizungumkuti tu ,hata tuliowazidi kipato wanatupasua vichwa.
Ngoma kaliBlue if you come back
Mwaka na nusu unautasho. Haya ya miaka mitatu kuna style gani mpya mnatafuta? Ndani ya miezinsita tuu tayari style zote mmemaliza.Muone ulivyo mwehu wewe ulitaka mahusiano yawe ya miezi 2๐๐๐
Nyooo usimuingize chaka mwenzio. Wee una mume tayari. Wacheni mwenzenu nae apate mumeMm huyo mbuzi angeshaacha nifatilia akipiga napokea siongei . Nasimblock popote angejiblock mwenyewe.
Aiseee....balaaa. au utamu unawachanganya sana unawaza nikimuacha huyu kumpata mwengine wakukojoza itakuwa shughuliWee acha tu sijui tunakuwa vichwa tumepeleka wapi sijui ni ile unajifanya unavuta subira kumbe mwenzio ana lake kichwani ๐คฃ
Njoo kwangu sophy๐๐๐๐
Kwani kunakitu kaomba mbna sijaona๐คฃ