Gan star
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 379
- 982
Wakuu habari za majukumu,
Nataka nifungue biashara ya kuuza mikoba au handbag za wadada, wallet na viatu pia special toka China na Uturuki.
Eneo ni Kibamba Dar es salaam. Kwa wale wenye ujuzi vipi inalipa wakuu, ushauri nahitaji wakubwa, mtaji ni 1.5 mil plain nje ya Gharama za fremu.
Mimi ni kijana wa kiume na nitafanya mwenyewe sitaweka mtu.
Nataka nifungue biashara ya kuuza mikoba au handbag za wadada, wallet na viatu pia special toka China na Uturuki.
Eneo ni Kibamba Dar es salaam. Kwa wale wenye ujuzi vipi inalipa wakuu, ushauri nahitaji wakubwa, mtaji ni 1.5 mil plain nje ya Gharama za fremu.
Mimi ni kijana wa kiume na nitafanya mwenyewe sitaweka mtu.