Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

Mkuu frem ni laki (100000), Ila na Mimi pia nimetarget kwenye digital marketing , pale ni kama ofisi ,mana usipokuwa na ofisi watu wanakuona kama Tapeli , kiukweli siwez kusema nategemea watu wanaopita njian ,mana ni wachache lakn pia sio wa kutegemea Sana , ... Nategemea kuweka na miamala ya pesa ,maji , na uwakala wa bank as days goes ona...ili kulinda Gharama za frem na tozo zingine .....
Ok vizuri mkuu, so kwa huduma hizo unazofikiria kuongeza maana yake mtaji wako ni zaidi ya hiyo 1.5m?

Naendelea kukusisitizia hakikisha location ipo kwenye msongamano wa watu wengi mkuu ni muhimu sana!

Kama ukikosa seheme yenye sifa hizo kwa biashara hiyo bora usipange kabisa..
 
Nina group la whatsapp la wateja wengi ninaowanunulia kutokea huku Guanzhou, karibu kama utakuwa interested.. uaminifu utaverify kwa wateja wengine pia, na bei ruksa kuuliza ukafananishe na alibaba
Tatizo lenu nyinyi mnachelewesha sana mizigo Mimi nikushauri tumia Alibaba then safirisha na GNM Cargo wako Kkoo hapo mkabala na jengo la msimbazi Subiri mzigo wako ufike utapigiwa simu ukafate mzigo wako. Kwasababu Bei za Alibaba hata kama ni Kubwa still unaweza kuuza bongo lwa bei ndogo ukapata faida yako
 
Tatizo lenu nyinyi mnachelewesha sana mizigo Mimi nikushauri tumia Alibaba then safirisha na GNM Cargo wako Kkoo hapo mkabala na jengo la msimbazi Subiri mzigo wako ufike utapigiwa simu ukafate mzigo wako. Kwasababu Bei za Alibaba hata kama ni Kubwa still unaweza kuuza bongo lwa bei ndogo ukapata faida yako
Wanasafirisha hadi bidhaa za kielectronic? Na gharama zao wanachaji vipi mkuu naomba kufhamu hilo na onachukua muda gani kuupata mzigo mkuu?
 
Tatizo lenu nyinyi mnachelewesha sana mizigo Mimi nikushauri tumia Alibaba then safirisha na GNM Cargo wako Kkoo hapo mkabala na jengo la msimbazi Subiri mzigo wako ufike utapigiwa simu ukafate mzigo wako. Kwasababu Bei za Alibaba hata kama ni Kubwa still unaweza kuuza bongo lwa bei ndogo ukapata faida yako
Wanunuaji wa bongo chenga Sana , mizigo inakaa mpak miez miwili naskia ,nahs na wao wengi ni madalali tuu wapo kariakoo, ukipata trusted supplier Alibaba Bora kutumia Alibaba aisee
 
Ukishampata muuzaji Alibaba mtumie pesa kwa Western Union au kama ni nyingi fanya Bank Transfer. Akishapokea mpe contacts za wasafirishaji wa mizigo China-Dar kama Silent Ocean na wengine. Ataufikisha mzigo then subiria ukifika kawalipe Silent then endelea na biashara yako. Rahisi sana.
Mzigo ukifika siyo wenyewe utafanyaje
 
Unatumia kampuni ya kusafirisha mizigo kutoka huko china to Tz mkuu? , au jnaagizia mwenyewe tu kwanjia ya Posta?
Kuna kampuni zinazosafirisha mizigo toka China kuja TZ. Silent Ocean na GNM ndo kampuni kubwa zaidi. Ukishamlipa mchina utampa namba za simu za hao wasafirishaji na atawapelekea. Kama ni kwa haraka sana unataka mzigo wako ndo mchina anaweza kukusafirishia kwa DHL au kampuni zingine za design hiyo.
 
Mkuu frem ni laki (100000), Ila na Mimi pia nimetarget kwenye digital marketing , pale ni kama ofisi ,mana usipokuwa na ofisi watu wanakuona kama Tapeli , kiukweli siwez kusema nategemea watu wanaopita njian ,mana ni wachache lakn pia sio wa kutegemea Sana , ... Nategemea kuweka na miamala ya pesa ,maji , na uwakala wa bank as days goes ona...ili kulinda Gharama za frem na tozo zingine .....
Mkuu hata mimi nakuunga mkono uuze online. Wananchi waambie tu ukweli wa vitu ulivyo navyo. Wengi online wanaonekana matapeli kwa sababu utakuta hana stock yoyote na hana connection nzuri ya kupata bidhaa aliyotangaza.
 
Mzigo ukifika siyo wenyewe utafanyaje
Mzigo kufika sio wenyewe ni ngumu. Ila waweza kupokea bidhaa ina quality ya chini endapo aliyekuuzia sio mwaminifu au hamkuelewana wakati wa kununua. Kasoro ikitokea ni wewe na aliyekuuzia inabidi muongee. Ila wachina wana uhuni wa kusema turudishie tutakubadilishia.. 😄😄😄😄😄
 
Mzigo kufika sio wenyewe ni ngumu. Ila waweza kupokea bidhaa ina quality ya chini endapo aliyekuuzia sio mwaminifu au hamkuelewana wakati wa kununua. Kasoro ikitokea ni wewe na aliyekuuzia inabidi muongee. Ila wachina wana uhuni wa kusema turudishie tutakubadilishia.. [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]

Asa utajuaje kama ni waaminifu? Au ndio unajilipua tu
Na gharama za usafirishaji wanachaji ngapi kuanzia
 
Kuna kampuni zinazosafirisha mizigo toka China kuja TZ. Silent Ocean na GNM ndo kampuni kubwa zaidi. Ukishamlipa mchina utampa namba za simu za hao wasafirishaji na atawapelekea. Kama ni kwa haraka sana unataka mzigo wako ndo mchina anaweza kukusafirishia kwa DHL au kampuni zingine za design hiyo.
Nashukuru kwa ufafanuzi Mzuri
 
Mkuu hata mimi nakuunga mkono uuze online. Wananchi waambie tu ukweli wa vitu ulivyo navyo. Wengi online wanaonekana matapeli kwa sababu utakuta hana stock yoyote na hana connection nzuri ya kupata bidhaa aliyotangaza.
Yeah napia uaminifu online utaujenga zaidi ukiwa na
good communication skills,
customer care ...
 
Asa utajuaje kama ni waaminifu? Au ndio unajilipua tu
Na gharama za usafirishaji wanachaji ngapi kuanzia
Kuna vitu vya kuangalia , kwenye review ya seller , trusted certificate n.k kuna Uzi unaongelea namna ya kununua online , na jinsi ya kufanya malipo , hata hvyo Alibaba ni mtandao mkubwa wa manunuzi na kiujumla Tu wenzetu hawana longo longo ya uswahili kama wetu ..... Mzigo ukikufikia ndo seller anapewa hela , kama sio kuna refund , Ila ukitumia usafiri wako inabd anayesafrisha uwasiliane nae aukague vyema , mana ukishapakiwa seller anakuwa hana lawama tena mana huo ni usafri wako sio Alibaba shipping
 
Asa utajuaje kama ni waaminifu? Au ndio unajilipua tu
Na gharama za usafirishaji wanachaji ngapi kuanzia
Waliojisajili Alibaba wanajitahidi uaminifu kwasababu pia sheria za kujisajili zinawabana. Nje ya Alibaba ndo risk kubwa zaidi. Lakini kwa vyovyote vile KUJILIPUA kuna asilimia zake pia. Gharama ya usafirishaji inategemea aina na ukubwa wa mzigo pia bei za wasafirishaji zinatofautiana
 
Tatizo lenu nyinyi mnachelewesha sana mizigo Mimi nikushauri tumia Alibaba then safirisha na GNM Cargo wako Kkoo hapo mkabala na jengo la msimbazi Subiri mzigo wako ufike utapigiwa simu ukafate mzigo wako. Kwasababu Bei za Alibaba hata kama ni Kubwa still unaweza kuuza bongo lwa bei ndogo ukapata faida yako

Upo sahihi kwa kiasi fulani. Changamoto kubwa mbili huwa zinajitokeza:

1: Kwa sisi tulioko China inatubidi tununue kwanza mzigo, tuupokee hapa Guanzhou then tuupaki upya maana tunavyopaki wabongo ni tofauti ja wachina wengi, hivyo tunakupunguzia gharama za kusafirisha maana tutasave space kwa mizigo mingi.. hii inaweza ikaongea hata siku tatu au nne zaidi. Pamoja na hilo bado ni hiari ya mteja, maana naweza kuongea na mchina akatuma moja kwa moja

2: Changamoto ya pili ni kampuni za usafirishaji especially hizi kubwa ambazo wengi wanaziamini, sitataja majina ila zina changamoto ya kuchelewesha mizigo kwa sababu wanazozijuaga wenyewe.

Anyways, Bado choice ni yako mkuu, Kila la kheri katika biashara, na karibu wakati wowote ukikwama kwa chochote!!!

Halafu kidogo nisahau[emoji23][emoji23] Nipo uchinani chief, ndo maana nkakwambia ungekuwa kwenye group ungeverify
 
Hivi vifaa vya simu,kama,chaja betri,cover ear phones n.k ukitoa china mtaji unaweza kuwa sh ngapi?
Upo sahihi kwa kiasi fulani. Changamoto kubwa mbili huwa zinajitokeza:

1: Kwa sisi tulioko China inatubidi tununue kwanza mzigo, tuupokee hapa Guanzhou then tuupaki upya maana tunavyopaki wabongo ni tofauti ja wachina wengi, hivyo tunakupunguzia gharama za kusafirisha maana tutasave space kwa mizigo mingi.. hii inaweza ikaongea hata siku tatu au nne zaidi. Pamoja na hilo bado ni hiari ya mteja, maana naweza kuongea na mchina akatuma moja kwa moja

2: Changamoto ya pili ni kampuni za usafirishaji especially hizi kubwa ambazo wengi wanaziamini, sitataja majina ila zina changamoto ya kuchelewesha mizigo kwa sababu wanazozijuaga wenyewe.

Anyways, Bado choice ni yako mkuu, Kila la kheri katika biashara, na karibu wakati wowote ukikwama kwa chochote!!!

Halafu kidogo nisahau[emoji23][emoji23] Nipo uchinani chief, ndo maana nkakwambia ungekuwa kwenye group ungeverify
 
Hivi vifaa vya simu,kama,chaja betri,cover ear phones n.k ukitoa china mtaji unaweza kuwa sh ngapi?

Inategemea sana mkuu na aina gani ya hivyo vitu utavihitaji, kwa maana ya quality maana quality zote zinapatikana na kwa sehemu kubwa ndo zinachangia suala la bei.. but roughly ukiwa na laki nne maybe bila gharama za usafiri unaeza pata pata hizo cover na earphones.. Hapo itategemea sasa wewe utauza bei gani huko bongo
 
Back
Top Bottom