Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

Sawaaa.
Msafirishaji wakati wa kutoa mzigo atalipia kila kitu. Then wakati unaenda kuchukua mzigo ile hela utakayomlipa anakuwa kajumuisha gharama zote. Kwahiyo kamwe hakulipii hiyo kodi
 
Upo sahihi kwa kiasi fulani. Changamoto kubwa mbili huwa zinajitokeza:

1: Kwa sisi tulioko China inatubidi tununue kwanza mzigo, tuupokee hapa Guanzhou then tuupaki upya maana tunavyopaki wabongo ni tofauti ja wachina wengi, hivyo tunakupunguzia gharama za kusafirisha maana tutasave space kwa mizigo mingi.. hii inaweza ikaongea hata siku tatu au nne zaidi. Pamoja na hilo bado ni hiari ya mteja, maana naweza kuongea na mchina akatuma moja kwa moja

2: Changamoto ya pili ni kampuni za usafirishaji especially hizi kubwa ambazo wengi wanaziamini, sitataja majina ila zina changamoto ya kuchelewesha mizigo kwa sababu wanazozijuaga wenyewe.

Anyways, Bado choice ni yako mkuu, Kila la kheri katika biashara, na karibu wakati wowote ukikwama kwa chochote!!!

Halafu kidogo nisahau[emoji23][emoji23] Nipo uchinani chief, ndo maana nkakwambia ungekuwa kwenye group ungeverify
Duh Naomba namba yako inbox nitalifanyia kazi
 
Wanunuaji wa bongo chenga Sana , mizigo inakaa mpak miez miwili naskia ,nahs na wao wengi ni madalali tuu wapo kariakoo, ukipata trusted supplier Alibaba Bora kutumia Alibaba aisee
Mi kuna mzigo wangu mpaka leo sijawahi kuupata sasa ina miezi 8
 
Wanasafirisha hadi bidhaa za kielectronic? Na gharama zao wanachaji vipi mkuu naomba kufhamu hilo na onachukua muda gani kuupata mzigo mkuu?
Wanasafirisha kila kitu na gharama za mzigo inategrmea Una cbm ngapi Kila bidhaa ina bei tofauti kuhusu muda ni siku 30-45 ila kulingana na corona inaweza kufika 60days
 
Ushauri wangu

Kwanini usiende tandika sokoni kuanzia saa7/8 mchana kunakuwaga na minada ya mapochi

Unapata vipochi vizuri tu tena vingine vipyaaaa

Unaweza kununua kwa 2000/3000/5000/10,000 pochi nzuri tu then we ukauza online na kwenye frame

Tena kwa 1.5m unapata mzigo wa kutosha

Unaitengeneza frame vizuri tu kiasi kwamba mtu anatamani tu kuingia aone

Kuagiza online ni kuzuri Sema muda mwingine unaweza kupata mzigo ambao sio (vipochi vidogo mno hata simu haikai) au quality ikawa ya kawaida mno

Anza na hiyo kwanza kwa baadae unaweza kwenda ama kuagiza kupitia faida utakayoipata
 
Wanasafirisha kila kitu na gharama za mzigo inategrmea Una cbm ngapi Kila bidhaa ina bei tofauti kuhusu muda ni siku 30-45 ila kulingana na corona inaweza kufika 60days
Kati ya mwaka jana au juzi, nilipiga simu silent ocean nikaongea na customer care, kuwauliza wakanijibu hawasafirishi Laptop
 
Ushauri wangu

Kwanini usiende tandika sokoni kuanzia saa7/8 mchana kunakuwaga na minada ya mapochi

Unapata vipochi vizuri tu tena vingine vipyaaaa

Unaweza kununua kwa 2000/3000/5000/10,000 pochi nzuri tu then we ukauza online na kwenye frame

Tena kwa 1.5m unapata mzigo wa kutosha

Unaitengeneza frame vizuri tu kiasi kwamba mtu anatamani tu kuingia aone

Kuagiza online ni kuzuri Sema muda mwingine unaweza kupata mzigo ambao sio (vipochi vidogo mno hata simu haikai) au quality ikawa ya kawaida mno

Anza na hiyo kwanza kwa baadae unaweza kwenda ama kuagiza kupitia faida utakayoipata
Pisikali umetoa bonge la ushauri... ni kweli kabisa bora kuanza kuzungusha hiyo hela ukiwa Dar kwanza ili baadae mtaji ukikua unatuma tu kiasi China sio mtaji wote. Kutuma hela yote China kwa mtu anayeanza na hata hajawahi kufika China au kuwa na mtu aliyeko kule ni hatari mno. Wachina wana upumbavu wakati mwingine wa kutuma kitu kisicho na ubora ukimbana anakujibu bei yako ilikuwa ndogo.
 
Ushauri wangu

Kwanini usiende tandika sokoni kuanzia saa7/8 mchana kunakuwaga na minada ya mapochi

Unapata vipochi vizuri tu tena vingine vipyaaaa

Unaweza kununua kwa 2000/3000/5000/10,000 pochi nzuri tu then we ukauza online na kwenye frame

Tena kwa 1.5m unapata mzigo wa kutosha

Unaitengeneza frame vizuri tu kiasi kwamba mtu anatamani tu kuingia aone

Kuagiza online ni kuzuri Sema muda mwingine unaweza kupata mzigo ambao sio (vipochi vidogo mno hata simu haikai) au quality ikawa ya kawaida mno

Anza na hiyo kwanza kwa baadae unaweza kwenda ama kuagiza kupitia faida utakayoipata
Huu ni ushauri mzuri ni heri mfanya biashara akapunguza risk kama anaanza
#calculatedrisk
 
Pisikali umetoa bonge la ushauri... ni kweli kabisa bora kuanza kuzungusha hiyo hela ukiwa Dar kwanza ili baadae mtaji ukikua unatuma tu kiasi China sio mtaji wote. Kutuma hela yote China kwa mtu anayeanza na hata hajawahi kufika China au kuwa na mtu aliyeko kule ni hatari mno. Wachina wana upumbavu wakati mwingine wa kutuma kitu kisicho na ubora ukimbana anakujibu bei yako ilikuwa ndogo.

Kweli na Pia unaweza ukapata hasara tu usirudishe hata hela ya mtaji

Hapo kuna kupata, kuna kukosa

Kupata hasara such kutapeliwa au mzigo kuchelewa sana 60days+ na hapo mzigo unakuja sio wenyewe au quality mbaya au mzigo ushapitwa na wakati (bei zimepungua sana au watu hawazipendi tena)

Ni heri kuanza hapa hata ukiagiza unajua huku unaendelea na biashara yako hupotezi wateja na hata hela ikipotea unajua utaipata kwenye hiyo hiyo biashara

Nimechoka kutype[emoji2955][emoji2955]hamna voice note kwani jamani??? Nitume
 
Huu ni ushauri mzuri ni heri mfanya biashara akapunguza risk kama anaanza
#calculatedrisk

Imagine mzigo umechukua 60days+ na mzigo umekuja quality ya kawaida Au sivyo kabisa na hapo ushachelewa kufika au usije kabisa

Au ukagharamia bei kubwaaa wakati hapa hapa bongo zipo na bei za kawaida tu

Vitu vingine ukiangalia gharama (Total cost) unaona ni sawa tu na huku, baadhi!!
 
Huu mnada Ni kila siku au kuna siku zake? Vipi kuhusu quality ya pochi

Saa7-8 mchana (Pia nafikiri Kuna wa asubuhi Sina uhakika sana) quality nzuri tu unaweza kupata hadi mpya ni kuwahi n kuchagua kwako tu pochi kubwa ndogo zote zipo

Zingine zinafanana na za dukani kabisa, Kuna wallet za sherehe hivi

Muhimu ni kuwahi na kuwa makini kuchagua tu, bei zao ni rafiki mno
 
Kweli na Pia unaweza ukapata hasara tu usirudishe hata hela ya mtaji

Hapo kuna kupata, kuna kukosa

Kupata hasara such kutapeliwa au mzigo kuchelewa sana 60days+ na hapo mzigo unakuja sio wenyewe au quality mbaya au mzigo ushapitwa na wakati (bei zimepungua sana au watu hawazipendi tena)

Ni heri kuanza hapa hata ukiagiza unajua huku unaendelea na biashara yako hupotezi wateja na hata hela ikipotea unajua utaipata kwenye hiyo hiyo biashara

Nimechoka kutype[emoji2955][emoji2955]hamna voice note kwani jamani??? Nitume
Ni kweli kabisa ndugu pisikali. Halafu pia watu wasikariri kwamba kila kitu China. Kuna nchi kama Thailand, Vietnam, India... nao pia wana mabalaa yao. China anachojivunia ni uwezo tu wa kutengeneza bidhaa nyingi aina mbalimbali.
 
Ahsante mkuu, vipi nikitumia hawa wanaonunua na kusafirisha wabongo wenzetu, japo na was na uaminifu wao na bei zao zipo wakat mwingine naona zpo juu sana. Au nitumie tu Alibaba.
Alibaba ofsi zao ziko wapi bongo hii mkuu?
 
Nina group la whatsapp la wateja wengi ninaowanunulia kutokea huku Guanzhou, karibu kama utakuwa interested.. uaminifu utaverify kwa wateja wengine pia, na bei ruksa kuuliza ukafananishe na alibaba
Unawanunulia, unapokea wewe then unawatumia ama?
 
Back
Top Bottom