Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

Ushauri, Nataka kuanza biashara ya handbag au viatu toka China/Uturuki

Unawanunulia, unapokea wewe then unawatumia ama?

Ndio mkuu, kupokea ni choice yao. Apokee mwenyewe au ofisi itampokelea ingawa tunapenda mteja apokee mwenyewe ili awe na huru kufollow up mzigo wake sehemu husika moja kwa moja
 
Ahsante mkuu, vipi nikitumia hawa wanaonunua na kusafirisha wabongo wenzetu, japo na was na uaminifu wao na bei zao zipo wakat mwingine naona zpo juu sana. Au nitumie tu Alibaba.
ukihitaji list yawanaoleta vitu kwa uaminifu nichek nitakupatia

nimeagiza mikoba ya 13000 ni mizuri sana kuna price ya chini zaidi

pia unaweza kufikiria soko la dubai wana pochi Classy

1.5m kwa biashara n kiasi kizuri ila umefikiria kwamba utatakiwa kuagiza kila baada ya wiki mbili hivi ilikuweza kuweka mzunguko sawa? kutokana na muda wa usafirishaji na clearance?
 
ukihitaji list yawanaoleta vitu kwa uaminifu nichek nitakupatia

nimeagiza mikoba ya 13000 ni mizuri sana kuna price ya chini zaidi

pia unaweza kufikiria soko la dubai wana pochi Classy

1.5m kwa biashara n kiasi kizuri ila umefikiria kwamba utatakiwa kuagiza kila baada ya wiki mbili hivi ilikuweza kuweka mzunguko sawa? kutokana na muda wa usafirishaji na clearance?
Soko la dubai, wasafirishaji ni wapi?
Hayo masoko lazima uende au hata online?
 
Soko la dubai, wasafirishaji ni wapi?
Hayo masoko lazima uende au hata online?
KWA DUBAI nafahamu waendao huko China unaweza oda online
Turkey pia nafahamu waendaji

wanasugest pia Thailand wana mzigo mzuri
 
Ushauri wangu

Kwanini usiende tandika sokoni kuanzia saa7/8 mchana kunakuwaga na minada ya mapochi

Unapata vipochi vizuri tu tena vingine vipyaaaa

Unaweza kununua kwa 2000/3000/5000/10,000 pochi nzuri tu then we ukauza online na kwenye frame

Tena kwa 1.5m unapata mzigo wa kutosha

Unaitengeneza frame vizuri tu kiasi kwamba mtu anatamani tu kuingia aone

Kuagiza online ni kuzuri Sema muda mwingine unaweza kupata mzigo ambao sio (vipochi vidogo mno hata simu haikai) au quality ikawa ya kawaida mno

Anza na hiyo kwanza kwa baadae unaweza kwenda ama kuagiza kupitia faida utakayoipata
Pale tandika upande gani wanafanya hii minada ya pochi tafadhali Pisi kali
 
Nina group la whatsapp la wateja wengi ninaowanunulia kutokea huku Guanzhou, karibu kama utakuwa interested.. uaminifu utaverify kwa wateja wengine pia, na bei ruksa kuuliza ukafananishe na alibaba
Nayo nzuri
 
ukihitaji list yawanaoleta vitu kwa uaminifu nichek nitakupatia

nimeagiza mikoba ya 13000 ni mizuri sana kuna price ya chini zaidi

pia unaweza kufikiria soko la dubai wana pochi Classy

1.5m kwa biashara n kiasi kizuri ila umefikiria kwamba utatakiwa kuagiza kila baada ya wiki mbili hivi ilikuweza kuweka mzunguko sawa? kutokana na muda wa usafirishaji na clearance?
Hilo nalo neno
 
Ukishampata muuzaji Alibaba mtumie pesa kwa Western Union au kama ni nyingi fanya Bank Transfer. Akishapokea mpe contacts za wasafirishaji wa mizigo China-Dar kama Silent Ocean na wengine. Ataufikisha mzigo then subiria ukifika kawalipe Silent then endelea na biashara yako. Rahisi sana.
Vipi suala la kodi?
 
Wakuu habari za majukumu,

Nataka nifungue biashara ya kuuza mikoba au handbag za wadada, wallet na viatu pia special toka China na Uturuki.

Eneo ni Kibamba Dar es salaam. Kwa wale wenye ujuzi vipi inalipa wakuu, ushauri nahitaji wakubwa , mtaji ni 1.5 mil plain nje ya Gharama za fremu

Mimi ni kijana wa kiume na nitafanya mwenyewe sitaweka mtu.
Check Instagram rosinas_collection...
 
Ni kweli kabisa ndugu pisikali. Halafu pia watu wasikariri kwamba kila kitu China. Kuna nchi kama Thailand, Vietnam, India... nao pia wana mabalaa yao. China anachojivunia ni uwezo tu wa kutengeneza bidhaa nyingi aina mbalimbali.
Kiongozi dm yako umeifunga nlkuwa naomba mawasiliano yako
 
Ushauri wangu

Kwanini usiende tandika sokoni kuanzia saa7/8 mchana kunakuwaga na minada ya mapochi

Unapata vipochi vizuri tu tena vingine vipyaaaa

Unaweza kununua kwa 2000/3000/5000/10,000 pochi nzuri tu then we ukauza online na kwenye frame

Tena kwa 1.5m unapata mzigo wa kutosha

Unaitengeneza frame vizuri tu kiasi kwamba mtu anatamani tu kuingia aone

Kuagiza online ni kuzuri Sema muda mwingine unaweza kupata mzigo ambao sio (vipochi vidogo mno hata simu haikai) au quality ikawa ya kawaida mno

Anza na hiyo kwanza kwa baadae unaweza kwenda ama kuagiza kupitia faida utakayoipata
Tandika Sokoni upande gani? Maana Tandika kubwa...idea nzuri sana umetoa
 
ukihitaji list yawanaoleta vitu kwa uaminifu nichek nitakupatia

nimeagiza mikoba ya 13000 ni mizuri sana kuna price ya chini zaidi

pia unaweza kufikiria soko la dubai wana pochi Classy

1.5m kwa biashara n kiasi kizuri ila umefikiria kwamba utatakiwa kuagiza kila baada ya wiki mbili hivi ilikuweza kuweka mzunguko sawa? kutokana na muda wa usafirishaji na clearance?
Leta Basi hiyo list
 
Back
Top Bottom