Donald Marcus Hemu
JF-Expert Member
- May 14, 2019
- 372
- 535
Pixel 3a kaka nilichukua Kwa 270kPixel gani umechukua kama mbadala N bei ngapi afisa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pixel 3a kaka nilichukua Kwa 270kPixel gani umechukua kama mbadala N bei ngapi afisa
Betri je?Quality ya camera note 10 pro akasubir Kwa pixel 3a
Betri likakaa kiasi chake kuanzia asubuhi mpaka mida ya saa mbili au tatu usikuBetri je?
Ninaitumia kwa sasa. Nilinunua Moshi kwenye duka moja stand ya mabasi kwa 450,000 ikiwa used. Ni miezi 4 sasa naitumia na sijapata chamgamoto yoyote... Inakaa sana na chaji na ina camera yenye megapixels 108.Redmi note 10 pro bei gani mkuu? hiyo note 10c ulinunua bei gani pia?
Chaji inatunza au lawama tuPixel 3a kaka nilichukua Kwa 270k
Kuna mambo mengine hapa tunadanganyana naangalia tu nabaki kucheka... Ulinganishe 3a yenye 3000mAh na redmi note 10pro yenye 5,020mAh...? Mm leo uniambie unipe 3a au redmi note 10 pro, nachukua redmi, maana imekamilika kila eneo kulinganisha na hizo pixel... Pixellabda iwe simu ya piliChaji inatunza au lawama tu
Kwaiyo unaamanisha Redmi note 10 pro anamzidi pixel kila eneo 😂😂😂😂 we jamaa simu umeanza Tumia liniKuna mambo mengine hapa tunadanganyana naangalia tu nabaki kucheka... Ulinganishe 3a yenye 3000mAh na redmi note 10pro yenye 5,020mAh...? Mm leo uniambie unipe 3a au redmi note 10 pro, nachukua redmi, maana imekamilika kila eneo kulinganisha na hizo pixel... Pixellabda iwe simu ya pili
Betri inakaa kutokana na matumiz Yako kwangu Mimi almost siku nzima maana nikichaj asubuhi mpaka saa mbili saa tatuBetri je?
Eehehhe, hapo bajeti ilichangia kuchagua 3aMwenzio mjanja katoka midrange kwenda upper
3a bila kuweka power saver hutoboi 12hrs betri lake dogo sanaBetri inakaa kutokana na matumiz Yako kwangu Mimi almost siku nzima maana nikichaj asubuhi mpaka saa mbili saa tatu
Ulikuwa una option ya atleast pix4, 3a xl, 3xl ila ww umeangukia kwa dogo janja 3aQuality ya camera note 10 pro akasubir Kwa pixel 3a
Kuonyesha userious huyo dogo Janja Bado Redmi note 10 pro hafui dafu je unadhani Kwa 4 inakuwaje!!?Ulikuwa una option ya atleast pix4, 3a xl, 3xl ila ww umeangukia kwa dogo janja 3a
3a bila kuweka power saver hutoboi 12hrs betri lake dogo sana
Ninachojua redmi note 10 kwenye camera ni kama oppo tu[emoji23][emoji23] Pixel kwenye camera siipingiMkuu katika simu hamna kitu nnachojali kama kamera na performance hasa swala la smoothness na kuwa up-to-date je Redmi anamzidi pixel katika Hilo!!!?
Performance wise yes, Redmi note 10pro kamzidi pixel kila kitu... Simu kushika nafasi ya pili kwenye simu 10 bora duniani co jambo dogoKwaiyo unaamanisha Redmi note 10 pro anamzidi pixel kila eneo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa simu umeanza Tumia lini
Tusihangaike sana, ingia gsm arena, jaribu ku compare cm na hiyo taka taka useme wapi imeizidiKwaiyo unaamanisha Redmi note 10 pro anamzidi pixel kila eneo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] we jamaa simu umeanza Tumia lini
Pixel ana 12mp ila huyo Redmi na 108mp zake anaonekana kama Tecno tu Android update pixel anamzidi Redmi bugs na crashes Redmi anamzidi pixel inshort Bado sana kwenye kufananisha simu kaka 😂😂😂 ukitoa betri ukubwa wa screen na microsd ndivyo vitu ambavyo 10 inaizid pixel Tena pixel 3a maana nikikuwekea 4 au 5 hapo mnatafutanaPerformance wise yes, Redmi note 10pro kamzidi pixel kila kitu... Simu kushika nafasi ya pili kwenye simu 10 bora duniani co jambo dogo
Refresh rate Redmi ana ngap na pixel ngap!!?Performance wise yes, Redmi note 10pro kamzidi pixel kila kitu... Simu kushika nafasi ya pili kwenye simu 10 bora duniani co jambo dogo
Redmi wenyewe walitaka kupiga picha Kali Wana download kamera ya Google pixel Gcam 😂😂Ninachojua redmi note 10 kwenye camera ni kama oppo tu[emoji23][emoji23] Pixel kwenye camera siipingi
Pixel nilipata pixel 4 kavu betri likawa dogo zaid Nika prefer hii sababu ya betri na the same camera na budgetUlikuwa una option ya atleast pix4, 3a xl, 3xl ila ww umeangukia kwa dogo janja 3a