USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

USHAURI: Nataka kununua simu 'Xiaomi Redmn Note 10 Pro'

Ninayo, ndo nayoitumia sasa, nilinunua december mwaka jana... Inakaa sana na charge, na ikiisha inachukua muda mchache sana kujaa, kama sikosei dk 45, ni fast charge, nashauri utumie charge yake iliyokuja na cm... Kwenye picha usiseme, bado sijakutana na cm unaishinda hii kwenye picha... Kidg hiyo google pixel wanaoisifia... Zinaweza zikawa sawa

Hiyo simu haiizidi pixel Kwa ubora wa picha hata kama ina mp108 wakati pixel ni 12mp ila still picha za google pixel ni umeme..... Mpaka imefikia wenye Redmi Wana download kamera ya Google Pixel kuongeza ubora
 
Wanaoijua hii simu nahitaji msaada wenu,

Je, ni simu nzuri? nimeifuatilia mtandaoni inaonekana nzuri ila nahitaji wazoefu ambao wamewahi kuitumia kabla sijajilipua kuinunua.

Mkuu kama Bado hujapata na upo Kanda ya kaskazini hasa Moshi au Arusha naomba unicheki
0624359965 nimeiweka ofisini gb 6/128 ntakufanyia 520k ndugu picha hizo hapo
Nimeahamia team pixel
 

Attachments

  • PXL_20220702_140955798.MP.jpg
    PXL_20220702_140955798.MP.jpg
    432.1 KB · Views: 49
Hiyo simu haiizidi pixel Kwa ubora wa picha hata kama ina mp108 wakati pixel ni 12mp ila still picha za google pixel ni umeme..... Mpaka imefikia wenye Redmi Wana download kamera ya Google Pixel kuongeza ubora
Pixel ni flagship/premium midrange, vyema ifananishwe na flagship wenzake kina Mi 11 na 12
 
Wanaoijua hii simu nahitaji msaada wenu,

Je, ni simu nzuri? nimeifuatilia mtandaoni inaonekana nzuri ila nahitaji wazoefu ambao wamewahi kuitumia kabla sijajilipua kuinunua.
Nina wiki 3 toka niinunue wapo vizuri,kuna makampuni yana simu kali,sema watu hawazijui,wamekomalia macho matatu tu.
 
Anyway narudia Tena nauza
Redmi Note 10 Pro
📸 108MP za uhalisia
Ram 6/128
No dots no scratches
Price 520k
0624359965
 
Sawa mkuu nimekupata, lakin wao ndo wanapenda kulimganisha pixel na hizo brand zine though iphone x na kwamba ni flagship lakin hamfikii pixel Kwa kamera hasa pixel 3a
Iphone X ni flagship ya 2017 na pixel ni ya 2019. Vyema kama unalinganisha iwe ni pixel. Comparison nzuri ni pixel 3a na iphone 11.
 
Kama simu gani Chief?
Maana jana sabasaba kwenye banda la tigo ilikuwa inauzwa 770k
Redmi note 10 pro? Mbona kawaida bila ofa Tigo wanauza laki 6?


ama ni version ya 256GB hio?

Kama budget inafika laki 7 soc nzuri ni snapdragon 778G. Tafuta simu kama Xiaomi 11 lite 5G Ne, Realme Gt master, Samsung galaxy M52 etc.

Kama unakosa Exynos 1280 ama snapdragon 695 si mbaya.
Simu kama Galaxy A33, vivo T1, poco X4 pro 5G, Redmi note 11 pro 5G etc.
 
108p 8GB Ram 128Rom na update android 12 soon 13[emoji91][emoji91]
Hii simu ni noma ninayo mwezi wa nne haijawahi nisumbua[emoji1491][emoji1491]
Ila kuna issue kwenye kamera sio mbovu ila ukipiga kwenye jua inapata moto so kaa nayo mbali na jua la sa saba mchana[emoji1787][emoji1787]
 
108p 8GB Ram 128Rom na update android 12 soon 13[emoji91][emoji91]
Hii simu ni noma ninayo mwezi wa nne haijawahi nisumbua[emoji1491][emoji1491]
Ila kuna issue kwenye kamera sio mbovu ila ukipiga kwenye jua inapata moto so kaa nayo mbali na jua la sa saba mchana[emoji1787][emoji1787]
Hicho ndo kilichonikimbiza note 10 pro kwenda pixel
 
Redmi note 10 pro? Mbona kawaida bila ofa Tigo wanauza laki 6?


ama ni version ya 256GB hio?

Kama budget inafika laki 7 soc nzuri ni snapdragon 778G. Tafuta simu kama Xiaomi 11 lite 5G Ne, Realme Gt master, Samsung galaxy M52 etc.

Kama unakosa Exynos 1280 ama snapdragon 695 si mbaya.
Simu kama Galaxy A33, vivo T1, poco X4 pro 5G, Redmi note 11 pro 5G etc.
Sina cha kuongeza apo nasisitiza kaa m11 HIO New edition achana Na redmi or poco f3ila mi unyama zaidi
 
Back
Top Bottom