[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Milioni moja kwa familia ya kimasikini na tiamajitiamaji unapata fasta! Ila kwa familia zinazojitambua hiyo hela nakushauri ikusaidie kujiongezea nguvu ya kiuchumi na kimaisha!
Ko chemia itapatikana kwa kutafutiwa na wazazi wake? Khaaaahkwamba kuoa ndo rahisi kiasi hicho mkuu hiyo ya haraka haraka hivyo nakushauri rudi kwenu ongea na wazee watakupointia ila hivyo ya kupanga na bajeti kwa style hiyo labda kama unatafuta short time it's ok maana ndoa ni chemistry element zisipo match lazima shida itakuepo
mtu unayetoka nae kijijini kwenu kule mbwinde lazima kuna vielement mtafanana kwenye life styleKo chemia itapatikana kwa kutafutiwa na wazazi wake? Khaaaah
Unajidanganya weyee!! Watu wanabadilika.mtu unayetoka nawe kijijini kwenu kule mbwinde lazima kuna maisha mtafanana kwenye life style
uko sahihi boss ila ndo ukikomaa na mifano ya watu maana yake watu wasioe wacha vijana wa take risk but with maximum cautionUnajidanganya weyee!! Watu wanabadilika.
Watu wanaanza mahusiano toka wako primary, wanakuja kufarakana baada ya miaka 4 ya ndoa yao ya kanisanii.
Nilipoamini kuwa hayana Formula. Lol
kwamba kuoa ndo rahisi kiasi hicho mkuu hiyo ya haraka haraka hivyo nakushauri rudi kwenu ongea na wazee watakupointia ila hivyo ya kupanga na bajeti kwa style hiyo labda kama unatafuta short time it's ok maana ndoa ni chemistry element zisipo match lazima shida itakuepo
Inatosha sana,hata iwapo unajitambua ipasavyo hata laki tano inatosha.Habari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam.
Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona kama nitafail ndani ya muda huu.
Therefore na plan niende either Tanga au Singida kutafuta binti mdogo niweze ishi anae ila katika mikoa hiyo husika sina mwenyeji hivyo nimeandaa bajeti ya milion moja kwa ajili ya kufanya hilo jambo langu. Je, nitafanikiwa au nipeni miongozo ili vijana tuache kukaa wapweke.
Cicle yao haiendi mbali na ukooWahindi ndoa zao ni arranged marriage ila ndio zinaongoza kwa kudumu.. wahindi huwa wanandoa wanachaguliwa mwenza na familia
Mambo ya love sijui chemistry huwa yana mbwembwe mwanzoni tu. Mbeleni divorce na hata kuchinjana
Sasa mbona wee unawachagulia njia ya kutake risk?uko sahihi boss ila ndo ukikomaa na mifano ya watu maana yake watu wasioe wacha vijana wa take risk but with maximum caution
Tamaaa tu🤣🤣Mwambie muoaji aongeze hata 200,. Me napataje 700 tu🙄
Kweli kabsaTuliza akili, issue si pesa, issue ni kupata mtu sahihi, ndoa si kama kwenda kununua kiatu dukani, usije juta baadae.
Mtazamo wako boss sikupigi ila nimetoa ushairi hakuna mahala nimemlazimishaSasa mbona wee unawachagulia njia ya kutake risk?
Singida wala usitnge bajeti...wee andaa tu nauli, kwanza utapata bahati ya kupita morogoro na dodoma bure kabisaHabari za humu wadau, mimi ni kijana wa umri wa miaka 27, mkazi wa jijini Dar es salaam.
Nimepanga na nina kazi. Moja ya malengo yangu nikuwa ikifika mwisho mwa mwaka huu niwe tayari na mke au mtu nimemweka ndani. Sasa kutokana na ubize wa kazi zangu na aina ya mwanamke ninaye muhitaji naona kama nitafail ndani ya muda huu.
Therefore na plan niende either Tanga au Singida kutafuta binti mdogo niweze ishi anae ila katika mikoa hiyo husika sina mwenyeji hivyo nimeandaa bajeti ya milion moja kwa ajili ya kufanya hilo jambo langu. Je, nitafanikiwa au nipeni miongozo ili vijana tuache kukaa wapweke.