Basi aje anioe mimi rafiki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hivi utu ndio mapenzi? Muonekano, tabia vyote si kitu kama hamna hisia.
Huyo hampendi huyo dada Bali anapenda jinsi alivyo na utu. Akatafute anaempenda huyo aache watakaompenda wamuoe
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona wengi ambao hawapo kwenye ndoa ndio washauri wakuu wa huu Uzi.
Ebu ngoja nijibanze kwa hapa kwenye kona niendelee kusoma komenti
Sent using Jamii Forums mobile app
Samtime ❌Wakuu habari za Weekend.
Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.
Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na hana tatizo lolote na mimi.
Samtime hua najipa moyo labda tukiwa katika ndoa nitampenda.
Ushauri naomba, je nimuoe kulingana na sifa na tabia zake nzuri!?
Ahsanteni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi aje anioe mimi rafiki [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu ni kwamba wanawake ambao hawajaolewa ndo washauri wakuu.
Hapa ilifaa wanawake waliiolewa ndo watoe ushauri,na sio singo mazaz
Bwana weee tuache labda atatuoa na sisi maana sura nzuri ipo.
Hujambo lakini rafiki?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni mwanamke ila hajaolewa kazalishwa halafu kaachwa,hivyo alikosa vigezo vya kuolewa na kama aliolewa bas kaachika.
Oh, [emoji87]Mimi nina shape nina sura nzuri.
Sijaolewa hadi leo.
Njoo unioe mkuu achana na huyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzuri wa mkakasi ndani kipande mti.. [emoji23][emoji23]Mimi nina shape nina sura nzuri.
Sijaolewa hadi leo.
Njoo unioe mkuu achana na huyo [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Taabu sana..!Utu wa mtu ni muhimu sana kuliko muonekano wa nje.
Oa huyo mkuu. Huyo ndo mke wako sasa.
Na usipomuoa utakutana na kurumbembe moja litakalokufanyia utajua maisha yako yote.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado anamalizia balehe akimalizia atampenda tuAtamuoa hlf dada wa watu ateseke kwa kutopendwa, aachane nae akatafute mwenye sura nzuri
Ni mwanamke ila hajaolewa kazalishwa halafu kaachwa,hivyo alikosa vigezo vya kuolewa na kama aliolewa bas kaachika.
Hivyo hapaswi kuleta ushauri. Inapaswa aliolewa ndio alete ushauri hapa huku akijitolea mfano yeye mwenyewe.
Ngoja nikuache tu maana wahenga walisema zimwi likujualo halikuli likakwisha...nakustahi maana we mshkaji wangu,halafu naelewa situation.Nani kakwambia mtu akizaa anakosa vigezo vya kuwa mke? Au kisa nyie malaika wa JF mnawasema singo meza mnadhani ndo wanaume wenye akili zao huku mtaani wanawasikiliza nyie?
Singo maza kibao wanaolewa. Hamna mtu ana mamlaka ya kusema fulani ana haki ya kutoa maoni kuliko mwingine.
Msijipe huo utukufu wanaume msiojitambua
Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikuache tu maana wahenga walisema zimwi likujualo halikuli likakwisha...nakustahi maana we mshkaji wangu,halafu naelewa situation.
Tufanye umeshinda. Ruksa unaweza kutoa maoni yako Dada.
Haya Dada tuendelee kuunga mkono juhudiKumbe tulikua na mashindano?? SIKUJUA. ASANTE KWA USHINDI WA KUPITA BILA KUPINGWA
Sent using Jamii Forums mobile app