Ushauri: Nataka kuoa mwanamke ambaye simpendi

Ushauri: Nataka kuoa mwanamke ambaye simpendi

Cha ajabu ni kwamba wanawake ambao hawajaolewa ndo washauri wakuu.

Hapa ilifaa wanawake waliiolewa ndo watoe ushauri,na sio singo mazaz
 
Wakuu habari za Weekend.

Mimi ni kijana na nimefikia umri wa kuoa sasa, ila changamoto ni kutaka kumuoa msichana ambae hayumo katika hisia zangu, ila sababu ya yeye ana tabia zote nzuri, lakini mimi tu sijavutiwa sana kwa upande wa sura tu basi.

Na kwa upande wake ananipenda zaidi ya sana na hana tatizo lolote na mimi.

Samtime hua najipa moyo labda tukiwa katika ndoa nitampenda.

Ushauri naomba, je nimuoe kulingana na sifa na tabia zake nzuri!?

Ahsanteni.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samtime ❌
Sometime✔
 
Mkuu muache huyo cha kufanya tafuta manzi mkali sana mwenye chura hasa,hakikisha awe mjanja mjanja.hakika tunategemea utarudi tena na kilio kikubwa tu na wadau watakubembeleza.hawatakutupa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wanaona ndoa kama wametoboa maisha vile.
Wakati kila siku mtaani tunaona watu wameachana. Kwani mtu ukiolewa ndo unapewa na cheti cha kutoa maoni kwa wanaotaka kuolewa?
Eti shoga angu we ulivyoolewa ulipewa cheti cha kuambia wengine nini kinatakiwa kwenye ndoa?
Bwana weee tuache labda atatuoa na sisi maana sura nzuri ipo.
Hujambo lakini rafiki?

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakwambia mtu akizaa anakosa vigezo vya kuwa mke? Au kisa nyie malaika wa JF mnawasema singo meza mnadhani ndo wanaume wenye akili zao huku mtaani wanawasikiliza nyie?
Singo maza kibao wanaolewa. Hamna mtu ana mamlaka ya kusema fulani ana haki ya kutoa maoni kuliko mwingine.
Msijipe huo utukufu wanaume msiojitambua
Ni mwanamke ila hajaolewa kazalishwa halafu kaachwa,hivyo alikosa vigezo vya kuolewa na kama aliolewa bas kaachika.

Hivyo hapaswi kuleta ushauri. Inapaswa aliolewa ndio alete ushauri hapa huku akijitolea mfano yeye mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nani kakwambia mtu akizaa anakosa vigezo vya kuwa mke? Au kisa nyie malaika wa JF mnawasema singo meza mnadhani ndo wanaume wenye akili zao huku mtaani wanawasikiliza nyie?
Singo maza kibao wanaolewa. Hamna mtu ana mamlaka ya kusema fulani ana haki ya kutoa maoni kuliko mwingine.
Msijipe huo utukufu wanaume msiojitambua

Sent using Jamii Forums mobile app
Ngoja nikuache tu maana wahenga walisema zimwi likujualo halikuli likakwisha...nakustahi maana we mshkaji wangu,halafu naelewa situation.

Tufanye umeshinda. Ruksa unaweza kutoa maoni yako Dada.
 
Kumbe tulikua na mashindano?? SIKUJUA. ASANTE KWA USHINDI WA KUPITA BILA KUPINGWA
Ngoja nikuache tu maana wahenga walisema zimwi likujualo halikuli likakwisha...nakustahi maana we mshkaji wangu,halafu naelewa situation.

Tufanye umeshinda. Ruksa unaweza kutoa maoni yako Dada.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom