Ushauri: Nataka kutafuta "Fundi Juma" mwenye uzoefu wa kujenga ghorofa ili kupunguza gharama

Ushauri: Nataka kutafuta "Fundi Juma" mwenye uzoefu wa kujenga ghorofa ili kupunguza gharama

unaweza kujenga gholofa kwa kutumia wood,yani pale middle floor instead ya nondo na zege,ukaweka wooden floor..naona ni cheap,nina jenga 3bedroom house apartment,down floor na juu vina fanana(for apartment)..imesaidia pia hata kwenye msingi chini coz wooden middle floor hai bebi zege/nondo nyingi so sija tumia sana hela nyingi on base...kama u can angalia nyumba za U.K nyingi zina jengwa hivyo na ni cheaper.
*angalizo,usiwe ujenzi wa kuwaza,yani isiwize umeweka wooden middle floor,juu ujaziba mbao zita haribika,kwa middle floor ya zege hamna shida unaweza kwenda mdogo mdogo.
Najaribu kuwaza huo ubora wa mbao zinazotakiwa kutumika, weledi wa fundi atakayejenga....pamoja na viwango vya kihandisi vinavyotakiwa ili ujenzi huu ukidhi viwango vinavyotakiwa...
Kama inawezekana tuwekee picha tujifunze
 
Limeshuka moja Kariakoo
kujenga ghorofa tena zaidi ya 1 kwa matumizi ya biashara inahitaji umakini mkubwa maana jengo linahusisha watumiaji wengi kwa wakati mmoja pamoja na load kubwa sasa ujenzi wa kariakoo una kasoro nyingi ni Mungu tu hunusuru
Nimeshangaa juzi juzi kuona kuna shule ghorofa inajengwa ubungo kwa nondo za mm 12 kwenye nguzo 🤣😭😭😭
 
Najaribu kuwaza huo ubora wa mbao zinazotakiwa kutumika, weledi wa fundi atakayejenga....pamoja na viwango vya kihandisi vinavyotakiwa ili ujenzi huu ukidhi viwango vinavyotakiwa...
Kama inawezekana tuwekee picha tujifunze
Muhimu sana
 
Habari wakuu,

Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.

Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.

Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.

Asante kwa muda wenu.
mkuu nategemea kuezua slabu yangu weekend hii kama utahitaji mbao,marine boards na mirunda nitakuuzia kwa bei nzuri nimeitumia mara moja tu.
 
Back
Top Bottom