OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Hata design huijui lakini tayari umeshakuwa na BOQ. Wabongo banaInategemea na design --- kwa hesabu za rafu 300m na kuendelea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata design huijui lakini tayari umeshakuwa na BOQ. Wabongo banaInategemea na design --- kwa hesabu za rafu 300m na kuendelea
Unachekesha mkuu. Naongelea from experience tena hapo ni ghorofa 1 ukitaka lipendeleze minimum weka 300m bei ya kununulia kiwanja haihusiki hapo mkuu. Ningekuwa mhaya au kina Dotto ningetuma picha hapa nikuonyeshe ninapoishiHata design huijui lakini tayari umeshakuwa na BOQ. Wabongo bana
Usi-generalize. Mil 300, au chini ya mil 300 inatosha vizuri Sana. Na sio 300 tu mm nasema mil 200 inatosha na ghorofa linakua zuri tuUnachekesha mkuu. Naongelea from experience tena hapo ni ghorofa 1 ukitaka lipendeleze minimum weka 300m bei ya kununulia kiwanja haihusiki hapo mkuu. Ningekuwa mhaya au kina Dotto ningetuma picha hapa nikuonyeshe ninapoishi
Mkuu wapigie hawa jamaa ni kampuni ya ujenzi wanaitwa MAGATA&H CO.LTD ofisi zao zipo kigamboni mjimwema no zao 0754665045 au wachek instagram wanatumia magata_ltd watakufanyia kazi yako kwa ubora na kwa bei nafuuHabari wakuu,
Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja.
Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.
Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.
Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.
Asante kwa muda wenu.
Fundi aliyejenga ghorofa ya Mwijaku 0717 544 702 Yusuf, swali la kizushi architectural na structural drawings imekugharimu TSH ngapi mkuu kama hutojali?Habari wakuu,
Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.
Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.
Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.
Asante kwa muda wenu.
ukiona mtu anataja garama ya nyumba hovyo either ni gorofa au yakawaida huyo hajui protokali za ujenzi. ujenzi sio arts iwe na general principal hivyo haitaji kukariri kwakua kuna factor nyingi sana zinaweza kusema garama halisi. nyumba ukiijenga leo million 200 hiyo nyumba ukaijenga mtaa mwingine haiwezi kuwa garama sawa hata iwe mji mmoja ila mitaa tofauti garama za material sehemu fulani ni tofauti kutokana na availability so huwezi ukajua general garama za nyumba kwa kubuni tu kama majibu ya A,B,C,D katika mtihani wa sanaaUsi-generalize. Mil 300, au chini ya mil 300 inatosha vizuri Sana. Na sio 300 tu mm nasema mil 200 inatosha na ghorofa linakua zuri tu
Hapa nasema usigeneralize sababu inategemea na aina ya mchoro
Ningekuwekea picha za ghorofa la mil 200, Ila mambo ya mtandaoni haya inakua sio powa.
Ghorofa ni gharama, Ila please msitishe sana na kuongopea watu
Yes ni kweliukiona mtu anataja garama ya nyumba hovyo either ni gorofa au yakawaida huyo hajui protokali za ujenzi. ujenzi sio arts iwe na general principal hivyo haitaji kukariri kwakua kuna factor nyingi sana zinaweza kusema garama halisi. nyumba ukiijenga leo million 200 hiyo nyumba ukaijenga mtaa mwingine haiwezi kuwa garama sawa hata iwe mji mmoja ila mitaa tofauti garama za material sehemu fulani ni tofauti kutokana na availability so huwezi ukajua general garama za nyumba kwa kubuni tu kama majibu ya A,B,C,D katika mtihani wa sanaa
Prestige, hata Mimi nataka nijilipue huko mbeleni.Kutumia local fundi kujenga ghorofa ni kweli inaokoa gharama, lakini hakikisha awe na uzoefu, pia kuwe na msimamizi anayeweza kumsimamia fundi. Fundi hata awe mzoefu vipi bila kusimamiwa na mtu anayejua(mtaalamu) huwa wanafanya makosa mengi sana
Gharama inategemea na aina ya jengo(drawings)
Swali langu kwa nn watu mnapenda ghorofa? Sijaona sababu sana
Na sometime unakuta una eneo zuri ila dogo sasa ukifanya cost benefit analysis unaona bora ujilipue tu ujenge kighorofa ubakie na nafasi ya parking na mambo mengine.Prestige, hata Mimi nataka nijilipue huko mbeleni.
Huko huko mbeleni utaona una mzigo mkubwa sanaPrestige, hata Mimi nataka nijilipue huko mbeleni.
Bongo ni vice versa wenye maeneo makubwa ndio hujenga ghorofa sababu ndio wanaafford kununua maeneo makubwa. Makabwela wenye high density plots huwa hawajengi maghorofaNa sometime unakuta una eneo zuri ila dogo sasa ukifanya cost benefit analysis unaona bora ujilipue tu ujenge kighorofa ubakie na nafasi ya parking na mambo mengine.
Raha ya ghorofa mgeni anakaa sebule moja chini huko wewe unapata chai sebule ya juu, hata kama anakudai anaweza kuondoka bila kukuona hata wezi wakikuvamia watahangaika kujua unalala wapiHuko huko mbeleni utaona una mzigo mkubwa sana
Ghorofa zuri but Kuna wakati inafikia linaboa na kukuchosha hasa pale umri ukisogea mambo ya usafi ndani na nje ni changamoto hata uwe na dada wa kazi/houseboy. Maintenance yake huwa ni kuchosha akili tu
Mtafute fundi Michael anauzoefu zaidiHabari wakuu,
Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.
Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.
Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.
Asante kwa muda wenu.
Ghorofa zuri kwa wenye pesa za uhakika sasa na huko mbeleni, kwa ambae hana pesa ya uhakika ghorofa ni matesoRaha ya ghorofa mgeni anakaa sebule moja chini huko wewe unapata chai sebule ya juu, hata kama anakudai anaweza kuondoka bila kukuona hata wezi wakikuvamia watahangaika kujua unalala wapi