Ushauri: Nataka kutafuta "Fundi Juma" mwenye uzoefu wa kujenga ghorofa ili kupunguza gharama

Ushauri: Nataka kutafuta "Fundi Juma" mwenye uzoefu wa kujenga ghorofa ili kupunguza gharama

Ukifika miaka 60 ilo ghorofa huliwezi tena kulipanda
Hayo ni mawazo ya kimasikini. Kwani ni mangapi hataweza kufanya baada ya kufikisha miaka 60? Usioe mwanamke mzuri kwa sababu ukiwa 60 hutaweza kumgonga vizuri? Kwani usiseme usijenge kwa sababu muda wowote unaweza kufa?
Kwani mtuaji wa nyumba ni peke yake? Kwani rooms itakuwa ni ghorofani tu
 
Hayo ni mawazo ya kimasikini. Kwani ni mangapi hataweza kufanya baada ya kufikisha miaka 60? Usioe mwanamke mzuri kwa sababu ukiwa 60 hutaweza kumgonga vizuri? Kwani usiseme usijenge kwa sababu muda wowote unaweza kufa?
Kwani mtuaji wa nyumba ni peke yake? Kwani rooms itakuwa ni ghorofani tu
Ata kuhesabu utakua huwezi mhasibu wa mchongo
 
Ukifika miaka 60 ilo ghorofa huliwezi tena kulipands
Sio kweli Kwa asilimia. Zote
Japo Kuna umri ukifika itakuwa shida I think 80+.

Ndio maana tunashauri at least juu na chini uwe na Bedroom ambayo Mungu akikupa umri mrefu sana 80+ huko utabadili matumizi utarudi ya chini ,
 
Tafuta engineer mzoefu mlipe kidogo then yeye ndiyo amsimamie huyo fundi juma sijui maiko
 
Habari wakuu,

Mungu akipenda, mwakani natamani kuanza ujenzi wa nyumba ya ghorofa moja. Mpaka sasa, nimefanya michoro yote, architectural na structural designs.

Naomba ushauri kwa watu wenye uzoefu, nataka kutafuta fundi Juma ambaye ana uzoefu kujenga ghorofa, anisaidie kujenga ili kupunguza gharama. Nataka kujua kama kuna mtu hapa ameshawahi kujenga kwa kutumia fundi wa kawaida.

Pili, naomba msaada kuju makisio bila finishing kwa nyumba ya 98sqm.

Asante kwa muda wenu.
Mtafute fundi Michael hapo utakula bingo.
 
Raha ya ghorofa mgeni anakaa sebule moja chini huko wewe unapata chai sebule ya juu, hata kama anakudai anaweza kuondoka bila kukuona hata wezi wakikuvamia watahangaika kujua unalala wapi
Wezi huwa wanauziwa data zako na mtu wako wa karibu, mfanya kazi za ndani, ndugu au rafiki.
 
Ujenzi ni art with science
ukiona mtu anataja garama ya nyumba hovyo either ni gorofa au yakawaida huyo hajui protokali za ujenzi. ujenzi sio arts iwe na general principal hivyo haitaji kukariri kwakua kuna factor nyingi sana zinaweza kusema garama halisi. nyumba ukiijenga leo million 200 hiyo nyumba ukaijenga mtaa mwingine haiwezi kuwa garama sawa hata iwe mji mmoja ila mitaa tofauti garama za material sehemu fulani ni tofauti kutokana na availability so huwezi ukajua general garama za nyumba kwa kubuni tu kama majibu ya A,B,C,D katika mtihani wa sanaa
 
Kumbe kuna gh
Sawa hiyo m300 kwa mchoro wako pengine ila hata M100 unajenga kali kabisa mpaka finishing yake. Mfano ghorofa ya upana wa mita 7 kwa 7 zile wanaita Mini casa, mpaka milioni 70/80 zile ndogo ndogo. Kwa hiyo si kila ghorofa ni kuanzia m200 mbona mnajitutumua sana kwamba wengine wasijen

Sawa hiyo m300 kwa mchoro wako pengine ila hata M100 unajenga kali kabisa mpaka finishing yake. Mfano ghorofa ya upana wa mita 7 kwa 7 zile wanaita Mini casa, mpaka milioni 70/80 zile ndogo ndogo. Kwa hiyo si kila ghorofa ni kuanzia m200 mbona mnajitutumua sana kwamba wengine wasijenge au?
Duh..7x7 hiyo ni ghorofa au Choo? Hata nyumba ya Chini 49sqm labda ujenge omboza
 
Kumbe kuna gh



Duh..7x7 hiyo ni ghorofa au Choo? Hata nyumba ya Chini 49sqm labda ujenge omboza
Kumbe kuna gh



Duh..7x7 hiyo ni ghorofa au Choo? Hata nyumba ya Chini 49sqm labda ujenge omboza
Huku jamii forum kila mtu mjuaji ndo shida hebu pita pita hata Google basi. Nyumba za kawaida za makazi nyingi ni mita 7 kwa 7, 7 kwa 8, 7kwa 9, sasa unasemaje itakuwa choo?
Kumbe kuna gh



Duh..7x7 hiyo ni ghorofa au Choo? Hata nyumba ya Chini 49sqm labda ujenge omboza
 
Huku jamii forum kila mtu mjuaji ndo shida hebu pita pita hata Google basi. Nyumba za kawaida za makazi nyingi ni mita 7 kwa 7, 7 kwa 8, 7kwa 9, sasa unasemaje itakuwa choo?
Kumbe kuna gh



Duh..7x7 hiyo ni ghorofa au Choo? Hata nyumba ya Chini 49sqm labda ujenge omboza
Hiki pia ni choo? Acheni maneno ya kike nyie
 

Attachments

  • Screenshot_20241023_161649_Chrome.jpg
    Screenshot_20241023_161649_Chrome.jpg
    385.3 KB · Views: 21
Kumbe kuna gh



Duh..7x7 hiyo ni ghorofa au Choo? Hata nyumba ya Chini 49sqm labda ujenge omboza
Na hii pia ni choo? Nyie ndo maisha magumu, mnakuja kuwakatisha tamaa wenzenu huku mitandaoni, 7by7 mita inatoka ghorofa amazing kabisa! Eti omboza hata kuandika hujui!
 

Attachments

  • Screenshot_20241023_163615_Chrome.jpg
    Screenshot_20241023_163615_Chrome.jpg
    532.7 KB · Views: 22
unaweza kujenga gholofa kwa kutumia wood,yani pale middle floor instead ya nondo na zege,ukaweka wooden floor..naona ni cheap,nina jenga 3bedroom house apartment,down floor na juu vina fanana(for apartment)..imesaidia pia hata kwenye msingi chini coz wooden middle floor hai bebi zege/nondo nyingi so sija tumia sana hela nyingi on base...kama u can angalia nyumba za U.K nyingi zina jengwa hivyo na ni cheaper.
*angalizo,usiwe ujenzi wa kuwaza,yani isiwize umeweka wooden middle floor,juu ujaziba mbao zita haribika,kwa middle floor ya zege hamna shida unaweza kwenda mdogo mdogo.
 
unaweza kujenga gholofa kwa kutumia wood,yani pale middle floor instead ya nondo na zege,ukaweka wooden floor..naona ni cheap,nina jenga 3bedroom house apartment,down floor na juu vina fanana(for apartment)..imesaidia pia hata kwenye msingi chini coz wooden middle floor hai bebi zege/nondo nyingi so sija tumia sana hela nyingi on base...kama u can angalia nyumba za U.K nyingi zina jengwa hivyo na ni cheaper.
*angalizo,usiwe ujenzi wa kuwaza,yani isiwize umeweka wooden middle floor,juu ujaziba mbao zita haribika,kwa middle floor ya zege hamna shida unaweza kwenda mdogo mdogo.
Imenivutia, weka picha mkuu. Ila nakuomba sana usitumie kingereza pasipo na haja, inakata stimu kusoma you can angalia
 
unaweza kujenga gholofa kwa kutumia wood,yani pale middle floor instead ya nondo na zege,ukaweka wooden floor..naona ni cheap,nina jenga 3bedroom house apartment,down floor na juu vina fanana(for apartment)..imesaidia pia hata kwenye msingi chini coz wooden middle floor hai bebi zege/nondo nyingi so sija tumia sana hela nyingi on base...kama u can angalia nyumba za U.K nyingi zina jengwa hivyo na ni cheaper.
*angalizo,usiwe ujenzi wa kuwaza,yani isiwize umeweka wooden middle floor,juu ujaziba mbao zita haribika,kwa middle floor ya zege hamna shida unaweza kwenda mdogo mdogo.
Unafanyia wapi hii mkuu? Naomba kuja kutembelea site
 
Back
Top Bottom