Nakukunda
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 876
- 1,643
Plan a
Fanya harusi ya 10m then nyingine save kwa ajili ya ujenzi..hapo cheza na mhasibu pamoja na suppliers Kama utaamua kufanya mjini..zile serving za 10%kwenye kila components mhasibu akutunzie...zawadi chagua hela na so material na wewe kuwa wazi kwa kamati kuwa pamoja na michango ungetamani harusi ya moderate status ili usave kwa ajili ya ujenzi...na kingine sio wore wanaochanga huwa wanakuja...Kuna hao walio nje ya nchi..marafiki wa mbali na ndugu wa mbali so 10-15m inaweza kabisa kufanya wedding ya status ya kati...
From beginning hukutakiwa kuwasilisha mchango wa watu ambao una uhakika [emoji817] kuwa hawawezi Kuja...ungeanza kufanya serving mapema Sana...wale watu ungewapa namna na account yako au mtu wako wa karibu Sana ...wakituma unachuja Kama anakuja unawasilisha katika kamati na Kama haji Basi unasave...
Plan b
Badilisha location ya harusi iwe kijijini/wilayani ulipotoka
Ukienda kijijini 10m inafanya bonge la harusi...badilisha location kwa lengo la Corona....Kijijini ni chakula na kunywa tu pombe za kienyeji na nyama choma..mziki...mapambo na MC havizidi 2m....inayobaki 8m Ni vyakula na vinywaji tu....
Fanya harusi ya 10m then nyingine save kwa ajili ya ujenzi..hapo cheza na mhasibu pamoja na suppliers Kama utaamua kufanya mjini..zile serving za 10%kwenye kila components mhasibu akutunzie...zawadi chagua hela na so material na wewe kuwa wazi kwa kamati kuwa pamoja na michango ungetamani harusi ya moderate status ili usave kwa ajili ya ujenzi...na kingine sio wore wanaochanga huwa wanakuja...Kuna hao walio nje ya nchi..marafiki wa mbali na ndugu wa mbali so 10-15m inaweza kabisa kufanya wedding ya status ya kati...
From beginning hukutakiwa kuwasilisha mchango wa watu ambao una uhakika [emoji817] kuwa hawawezi Kuja...ungeanza kufanya serving mapema Sana...wale watu ungewapa namna na account yako au mtu wako wa karibu Sana ...wakituma unachuja Kama anakuja unawasilisha katika kamati na Kama haji Basi unasave...
Plan b
Badilisha location ya harusi iwe kijijini/wilayani ulipotoka
Ukienda kijijini 10m inafanya bonge la harusi...badilisha location kwa lengo la Corona....Kijijini ni chakula na kunywa tu pombe za kienyeji na nyama choma..mziki...mapambo na MC havizidi 2m....inayobaki 8m Ni vyakula na vinywaji tu....