Mickbrown
JF-Expert Member
- Sep 13, 2022
- 409
- 496
😂😂mnywe supu hutojutia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂mnywe supu hutojutia
Ukiwatoa wale wasiokula nyama ya Nguruwe kwa sababu za kiafya eg allergic etc the rest ni wanafiki tu.Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..
Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?
Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?
Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Mbuzi katoliki?Achana nae, huyo mdudu ni kama kula Unga (Poda) ni ngumu sana kumuacha sababu ana addiction, kibaya dini yangu hairuhusu hivyo sikushauri umle
Kwanini usijaribu Kuku choma au mbuzi roast?😊
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Fwara sana wewe jamaaaNataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..
Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?
Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?
Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Anza kwa kutafuna masikio yake yaliyokaangwa
Kesho ntakuchekUkisha mla, nakushauri umshushie na bapa moja la nyagi aka faru jonh.....😋 utakuja kunishukuru...😊
Umesahau na kabia kabaridoOnja zote....anza na ya kukaanga, kula roast na ya kuchoma + ndizi mbili na kachumbali oooh haleluyah
Ongeza mkuu tuna mwanachama mpya wa mdudu hapaKaribu sanaView attachment 2763119
😂😂Hapana mkuu , ni mbuzi meeMbuzi katoliki?
Kwamba ni miongoni mwa wanaozorotesha biashara kwa siku 30 kila mwakambona maelezo na tone vinaenda sambamba na wazoefu wa hiyo kitu?
Je! Na wewe ni mmoja wao?
Mwenendo wa maelezo unaishara Kamili za uzoefu.
Hujachelewa....wanaomchukia ndio wanamtafuna haswasa🙃Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..
Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?
Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?
Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Wewe ni mzoefuNataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..
Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?
Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?
Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Wivu tuAngalia wanaokula huwa akili zinahamia makalioni