Ushauri: Nataka nianze kula kitimoto

Ushauri: Nataka nianze kula kitimoto

Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..

Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?

Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?

Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Ukiwatoa wale wasiokula nyama ya Nguruwe kwa sababu za kiafya eg allergic etc the rest ni wanafiki tu.

Wanazini,wanaiba,wanasengenya wengine ni wachoyo hao hizo kwao siyo dhambi lakini kula Nguruwe kwao ndiyo dhambi,wana wazimu hao!
 
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..

Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?

Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?

Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Fwara sana wewe jamaaa
 
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..

Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?

Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?

Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha
Hujachelewa....wanaomchukia ndio wanamtafuna haswasa🙃
 
Back
Top Bottom