linguistics
JF-Expert Member
- Jun 22, 2014
- 4,724
- 4,381
Alikuwa anafanya mafundisho ya ubatizoBTW Karibu tena jf Excel kitambo sana ulipotea humu!
Enjoy your kitimoto!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anafanya mafundisho ya ubatizoBTW Karibu tena jf Excel kitambo sana ulipotea humu!
Enjoy your kitimoto!!
Hahahaha... Tunafurahi kumuona tena asee!Alikuwa anafanya mafundisho ya ubatizo
Huitaji umekua mkubwa so sokoni unaweza kuta nyama ya nguruwe ambaye alikua bado kuliwaBoss umechelewa sana sijui kama utaweza kuelezea radha ya kiti moto maana nguruwe wa sasa nao kama wadada wa mjini hawana radha kabisa sijui wanalishwa nini
Na ugali wa dona mkubwa sana, aloo Ni balaaMkuu hebu jaribu roast iliyochanganywa na ka mchicha kwa mbali! Haki ya nani utatoa machozi kwamba ulichelewa wapi?
Weeee sema yesuuusupu ya kongoro lake ni dawa ya kuzuia kukojoa kwa bed
Sasa huoni kua nguruwe namapepo hazikai pamoja! Mapepo yapo baharini nahuko kwakwingine kamwe nguruwe napepo ni ngumu kuchanganyikaKumbuka Yesu aliondoa mapepo na yakaingia kwa nguruwe nao nguruwe wakatumbukia baharini na hayo mapepo! Unataka kula mapepo?
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Aiseee🤦😂🤣🤣🤣Kwahiyo hawa wa sasaivi hawana shida maana wale walioingiwa na mapepo wote walikufa, kizazi chao hakikuendelea!
Ukila wewe inatosha[emoji419],Ukiwatoa wale wasiokula nyama ya Nguruwe kwa sababu za kiafya eg allergic etc the rest ni wanafiki tu.
Wanazini,wanaiba,wanasengenya wengine ni wachoyo hao hizo kwao siyo dhambi lakini kula Nguruwe kwao ndiyo dhambi,wana wazimu hao!
Nikukute wapi my sisterNakupea ofa kilo mbili,Moja kula on spot,Moja be a kale nyumbani...Karibu chamani
Nataka nianze rasmi kumla huyu mnyama anayechukiwa na watu zaidi ya bilioni moja ulimwenguni..
Nataka kujua anakuwa mtamu zaidi akiwa rosti au mkavu?
Je nimsindikize na ndizi ama kaugali?
Sipendi awe na mafuta mengi nipeni idea za kutosha