Ushauri: Nchi gani ya Ulaya ni rahisi kupata visa na kazi?

Kila siku mnawatukana wabeba maboksi na wanadiaspora kuwa warudi bongo eti bongo mambo poa!
Kulikoni unataka kuondoka bongo ambako ni tambarare?
Anyways, mtafute Nyani Ngabu na mkuu Copenhagen DN watakupa ushauri
Hahahaa!siku hizi sizioni zile thread za kuwasema hovyo wabeba box..teh! teh! Muda ni muamuzi mzuri sana aisee!!
 
Hapo kwenye red,
Mkuu ukiandika "utajuta" badala ya "hutajuta" unakua hueleweki una maanisha nini hasa??!!!!
 
Sasa kama unataka kwenda ughaibuni halafu hata neno paper hujajua linamaana gani italuwa shida kunielewa. Ulizia watu wako wa karibu walioighaibuni nini maana ya paper na umuhimu wake katika kujitafutia ridhili ukiwa huko
Hii comment ingetosha kumuelekeza mkuuu
 
Njoo huku Brunei itatoboa, kumbuka kubeba nidhamu halisi vinginevyo utajuta. Mambo ya pambuchi za watu walioolewa kaa mbali nazo.
hamna ubaguzi uko kwa wageni sana sana kutoka africa?
 
Nipo Europe, njoo inbox
 
Kaka nami nimevutiwa na ushauri wako, nami nahitaji hizo fursa,waweza niunganisha!? 0762 983624
 
Balaaa
 
Wadau mimi nahitaji kwenda Ulaya kutafuta maisha, nauli ninayo hivo naombeni ushauri kwa anaefahamu nchi gani in Europe ina urahisi wa kupata kazi yoyote pia urahisi wa visa pia mahali pa kufikia ????? Wadau naombeni msaada wenu kwa anaefahamu.
Haaahaa tupo wengi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…