Ushauri: Ndugu wameharibu ndoa ya dada yangu

Apo jamaa akubalu kua Fala ndo atakubaliana na jambo, wanawake hua wanajihusi wajanja , afu hutuona maboya sana, anasingizia jambo huku akijua ukweli lakini anakaza tu,

Aende kwa mwenye mzigo, si alijiona janja
 
Haraka ya nini jamaa asubirie mtoto azaliwe akapime.
Je akikuta ni wake itakuaje
 
Tena mashetani kweli
 
Yaan familia ikishakua na wadada wengi, Ni full kulishana ujinga TU afu wakishaharibu uko ndo wanatukumbuka mabrother wao[emoji35]
Pia wadada huaribu pia ndoa za kaka zao, bila shaka huonea wivu wifi zao wakiwa na amani na wake zao
 
Hapo Hata wakirudiana huyo mtoto atakayezaliwa hatapata upendo wa baba, Mimi naona wandugu mjipange Ili dada ajifungue salama. Na mtoto akiwa mkubwa kiasi mumlee na dada mumtafutie mtaji wa biashara ajitegemee.Hayo mambo ya kumrudisha Kwa mume muachane nayo yakitokea iwe ni wao wenyewe. Hiv wewe unaona ni rahisi kumrudia mwanamke ana mimba ya miezi 11 manake sio Yako. Wewe unaweza? Hiv akija kumdhuru mtoto Au dada yenu mtamlaumu? Nasemaje, mchuma majanga hula na wakwao Hilo ni lenu.

Ndugu zako wamekosa na Wewe Kama mtoto wa kiume, ulipaswa kutazama Mbali, dada anapokaa Mbali na mmewe Kwa muda mrefu lolote linaweza kutokea, dada alizoea kupigwa mambo Mara Kwa Mara , Sasa mnapomng'ang'ania mlidhan atakua anaridhikaje, mmewe ni rijali pia hawezi kukaa muda wote bila kupiga mambo, akipata demu anaweza kuweka ndani mazima. Mlipaswa kuchukua hatua mapema, wewe Kama mtoto wa kiume ulipaswa Hata kutumia udikteta kumrudisha dada Kwa mmewe.

Kaa na mkeo umueleweshe tu ugumu uliopo na ukiweza msaidie dada kujitegemea , ukishindwa acha wapambane walioharibu ndoa. Ningekua Mimi ningeachana Naye mazima atajijua mwenyewe. Just image hapa nishakasirika.
 
Wewe ndo mzembe kwa nn usingemuita uyo mume mkaja kuyaongea na kuyamaliza wakiwa pande zote mbili wapo wewe utamwambiaje tu arud kwa mumewe bila kujua sababu zilizomfsnya aondoke
 
Unakumbuka Kifo cha Piariz Charles Hizza, kilicho trend Pale tabata ter 02/10/2022? Ni haya haya Mambo ya Kulazimisha Ndugu arudi kwa Mume wake,

Pia alienda home kwa kaka yake akamuambia Kaka (Sitataja jina) Yule mwanaume ataniua...

Kaka akamuambia Hapana rudi kwa mmeo,
Pia akakatazwa kuja kwenye harusi ter 01/10/2022, kila mtu akashangaa kwa nini hajaja kwenye harusi, Usiku watu tupo ukumbini yupo live video Call, Asubuhi tunaambiwa Kajinyonga, kumbe aliuawa kifo cha kikatili na taratibu,

Mpaka leo Bro aliyemshauri Pia arudi kwa mmewe hana Amani akikumbuka, Ndugu wote walimgeuka.., Aliongea kwa nia nzuri kabisa, Ila ni kwamba Hakuamini kama shemeji yake anaweza akaenda Deep kiasi alichotenda.

Mimi isingekua experience hii ningekuunga mkono, ila kwa lile, HAPANA.

Pengine yote haya yanaweza kua nimeandika yakapita, Sawa, ombea usije ukajifunza kwa gharama kubwa kama ile.
 
Dada kaivunja nyumba yake mwenyewe!, ana watoto/ mtoto na aliyokuwa mumewe?.
 
Wakapime dna wajue,ila wanawake wenye mdomo wanamsha amsha sana nyumba,mwanamke hatakiwi kuwa mkimya sana
 
Hekima ni pamoja na kuambiana ukweli huyu bwana alikosea kumpokea na kukaa na huyo dada ake tatizo lilianzia hapo
Kwa hiyo jamaa kumtia mimba dada ake ndio ukweli na hekima yenyewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ