Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani

Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani

Njia pekee ya kistaarabu ni hiyo! Lakini ile yakuwaomba haiwezi kufanikiwa! Kwanza wanaamini kuzima mziki ni pepo mchafu!
Just imagine hata umeme ukikatika huwa wanazani ni pepo limekata umeme!
Hivyo kuwacontrol watu wa namna hii NJIA PEKEE NI DISCOURAGE APPROACH!
wawekee bei! Ya USAJILI WA SPIKA tena bei kubwa! Wapo wataweza wachache lakini nao mwisho wa siku wataacha!

Walifanikisha hilo kwenye chainsaw hawashindwi kwenye mziki
Hawashindwi kabisa mkuu. Ila tatizo kubwa ni kuwa baadhi ya wenye makanisa washaanza kuingia bungeni, wenye bar na clubs ndio haohao wapitisha sheria. Kuna kazi nzito hapo ya kuamua mkuu.
 
Hawashindwi kabisa mkuu. Ila tatizo kubwa ni kuwa baadhi ya wenye makanisa washaanza kuingia bungeni, wenye bar na clubs ndio haohao wapitisha sheria. Kuna kazi nzito hapo ya kuamua mkuu.
Duh basi kazi ipo
 
Chako ni chako walizidi sana makelele nashauri NEMC waongeze vibano zaidi
 
Nikimsikia mtu analalamika NEMC kutoza faini namshangaaa ...Naomba NEMC MKAMUE kweli kweli hao wapiga kelele walianza tangu utoto kupiga kelele! Na sasa wamekuwa watu wazima wanatusumbua na mikelele
 
Back
Top Bottom