Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani

Ushauri: NEMC fanyeni haya ili kupunguza kelele za muziki mtaani

Nafaham upo ugumu mkubwa wa kushughulika na watu wanaoamini KERO ni haki yao!

Yaani kuna watu wanajimilikisha haki ya kuwakera wengine!
Na wanaoamini wako sahihi!

Zamani kukuta spika ya disco kanisani ilikuwa HAKUNA! Na watu waliogopa kucheza sebene kanisani lakini hivi Leo ni kawaida sana!

Miziki mikubwa kwenye bar, makanisa na misikiti imekuwa kawaida na wanaamini ni HAKI YAO!

NEMC FANYENI HIVI KUONDOA TATIZO!
1. Wekeni viwango elekezi vya decibel's ya chombo cha mziki kwa kuzingatia uwiano wa chumba/jengo (Volume ratio) ya chumba na muwape vibari!

Fomu za vibari NEMC zijazwe kupitia serikali ya mtaa na mtendaji wa mtaa (hii itakuwa bure kwa vyombo vyote vidogo vya mziki mfano! Koni spika, na vinanda vidogo (piano)

2. Spika zote kubwa kuanzia decibels elekezi mtakazopanga na kuendelea kutokana na uwiano wa jengo.
Hakikisheni Zinapatiwa kibali maalum kutoka NEMC

MFANO! spika moja kubwa kwa mwaka ilipiwe 10MIL na hakikisheni nakala ya stika ya vibari vyenu vinabandikwa inje ya jengo husika
Vikionesha tarehe, muda wa matumizi, na ukomo!
(Hakikisheni na mkague vibari vyenu VALID kama vimebandikwa inje)

Asilimia 30% ya malipo wapeni mtaa husika kwa maendeleo ya mtaa!

HAKIKISHENI HAKUNA MTU ANAYETUMIA SPIKA KUBWA YENYE DECIBEL'S kinyume na kiwango elekezi pasipo USAJILI!

NA MJIPAMBANUE KWAMBA HAMUWAKATAZI KUTUMIA BALI MNAWASAJILI NA KUWAPA MATUMIZI ELEKEZI! Anaeshindwa aaache!

Nahilo lifanyike kitaifa!

Na hizi ndo ajira zenyewe! Kuondoa kero ni fursa ya pesa kwa serikali na ni ajira kwa vijana!
Kabla ya NEMC kwanza halmashauri ambao wao ndio hutoa izo leseni za biashara ktk maeneo yao ndio wanapaswa waanze kwanza kuhakikisha waombaji wanakishi vigezo
 
Kabla ya NEMC kwanza halmashauri ambao wao ndio hutoa izo leseni za biashara ktk maeneo yao ndio wanapaswa waanze kwanza kuhakikisha waombaji wanakishi vigezo
Halimashauri zimejaa rushwa mtupu hilo zoezi nyeti hawaliwezi!
 
Dah, wapitishe wazo lako hata sasahivi. Ukikaa karibu na nyumba fulani za ibada kuwahi kulala au kuamka kwa kuchelewa kunategemeana na waumini watakavyoamua.
 
Dah, wapitishe wazo lako hata sasahivi. Ukikaa karibu na nyumba fulani za ibada kuwahi kulala au kuamka kwa kuchelewa kunategemeana na waumini watakavyoamua.
Njia pekee ya kistaarabu ni hiyo! Lakini ile yakuwaomba haiwezi kufanikiwa! Kwanza wanaamini kuzima mziki ni pepo mchafu!
Just imagine hata umeme ukikatika huwa wanazani ni pepo limekata umeme!
Hivyo kuwacontrol watu wa namna hii NJIA PEKEE NI DISCOURAGE APPROACH!
wawekee bei! Ya USAJILI WA SPIKA tena bei kubwa! Wapo wataweza wachache lakini nao mwisho wa siku wataacha!

Walifanikisha hilo kwenye chainsaw hawashindwi kwenye mziki
 
Believe me, hizo sheria zitawakomesha watu wa Bar, Pub, Resort, Lounge, Club na the likes.

Nyumba za ibada haziwezi kuguswa. Mamlaka hazina huo ujasiri wa kulinyang'anya kanisa au msikiti vyombo vyake vya sauti kisa mahubiri yamekua kero [emoji23][emoji23]

Imagine wewe ndio umepewa kazi ya kwenda kunyofoa speaker msikitini wakati wanaswali kisa hawana kibali cha sauti. Utaweza? Utathubutu?

Sent from my Infinix X652 using JamiiForums mobile app
Mahubiri hayawezi kuwa kero lakini kelele za spika ndiyo kero!
NEMC hawasajili mahubiri Bali Wanasajili VYOMBO vya mziki!

Asiyetii mamlaka za duniani hawezi pia kutii za mbiguni! SPIKA ZINATAIFISHWA VIZURI TU! Wakishindwa NEMC watoe tenda kwa makampuni madalali mfano Yale makampuni wanaopiga minada nyumba!

Wanafurusha inje hata ndani kuna mgonjwa sembuse hao wa SIPIKA!

Mungu hasikilizi mkaidi asiyezibgatia utaratibu
 
Ukitaka kumkamata adui mbatize jina baya kwanza!
Hii oparesheni ya SPIKA inapendeza wakianza waipe kauli mbiu mfano "TUJULISHE KUTOKOMEZA NZIGE MTAANI"
 
Nafaham upo ugumu mkubwa wa kushughulika na watu wanaoamini KERO ni haki yao!

Yaani kuna watu wanajimilikisha haki ya kuwakera wengine!
Na wanaoamini wako sahihi!

Zamani kukuta spika ya disco kanisani ilikuwa HAKUNA! Na watu waliogopa kucheza sebene kanisani lakini hivi Leo ni kawaida sana!

Miziki mikubwa kwenye bar, makanisa na misikiti imekuwa kawaida na wanaamini ni HAKI YAO!

NEMC FANYENI HIVI KUONDOA TATIZO!
1. Wekeni viwango elekezi vya decibel's ya chombo cha mziki kwa kuzingatia uwiano wa chumba/jengo (Volume ratio) ya chumba na muwape vibari!

Fomu za vibari NEMC zijazwe kupitia serikali ya mtaa na mtendaji wa mtaa (hii itakuwa bure kwa vyombo vyote vidogo vya mziki mfano! Koni spika, na vinanda vidogo (piano)

2. Spika zote kubwa kuanzia decibels elekezi mtakazopanga na kuendelea kutokana na uwiano wa jengo.
Hakikisheni Zinapatiwa kibali maalum kutoka NEMC

MFANO! spika moja kubwa kwa mwaka ilipiwe 10MIL na hakikisheni nakala ya stika ya vibari vyenu vinabandikwa inje ya jengo husika
Vikionesha tarehe, muda wa matumizi, na ukomo!
(Hakikisheni na mkague vibari vyenu VALID kama vimebandikwa inje)

Asilimia 30% ya malipo wapeni mtaa husika kwa maendeleo ya mtaa!

HAKIKISHENI HAKUNA MTU ANAYETUMIA SPIKA KUBWA YENYE DECIBEL'S kinyume na kiwango elekezi pasipo USAJILI!

NA MJIPAMBANUE KWAMBA HAMUWAKATAZI KUTUMIA BALI MNAWASAJILI NA KUWAPA MATUMIZI ELEKEZI! Anaeshindwa aaache!

Nahilo lifanyike kitaifa!

Na hizi ndo ajira zenyewe! Kuondoa kero ni fursa ya pesa kwa serikali na ni ajira kwa vijana!

oparesheni hiyo waibatize jina baya! Mfano!
OPARESHENI TOKOMEZA SPIKA NZIGE MTAANI
Hizo sound meter zifungwe nje kila mtu aweze kusoma
 
Research sheria za serikali za mitaa (municipalities )zipo sheria zinazohusu mambo haya including maduka ya kiti moto,utekelezaji ni zero
Wanapita backdoor wanachukua rushwa
 
Ukitaka kumkamata adui mbatize jina baya kwanza!
Hii oparesheni ya SPIKA inapendeza wakianza waipe kauli mbiu mfano "TUJULISHE KUTOKOMEZA NZIGE MTAANI"
Hahahaaa hadi kauli mbiu aisee mkuu naona umejipanga ebu wakupe ukurugenzi wa NEMC unaweza ukawa na jambo
 
Kuna kanisa walikua wanaamka saa kumi alfajiri kusali.
Wana spika zimewekwa nje aisee sauti inayotoka hapo lazima uamke tu.

Ajabu sasa unakuta kanisa asubuhi hiyo hawazidi hata watu 5. Utamkuta mchingaji na waumini 2 wakizidi sana ni 4. Ila kelele zake ni za watu 400.
 
Kuna taasisi za serikali zipozipo tu wala hazina impact yoyote kwa watanzania moja wapo ni hiyo NEMC nyingine ni wakala wa vipimo
 
Kuna taasisi za serikali zipozipo tu wala hazina impact yoyote kwa watanzania moja wapo ni hiyo NEMC nyingine ni wakala wa vipimo
Na wanalipwa mishahara bora taasisi kama hizo zifutwe
 
Back
Top Bottom