Watu wanataka nafasi za ukuu wa wilaya na kuongezeka kwa idadi ya majimbo ya ubunge ili kila chawa aliyefuzu apewe zawadi yakeDUH!!! Kwa raha zipi za kuongeza Mikoa na Wilaya hivyo...
Kuna haja ya kupunguza Mikoa na Wilaya na kupunguza ukubwa wa Serikali pia..
bado kuwa wilaya.ila wazo lako ni zuri bagamoyo ni kubwaNachojua chalize ni wilaya
sawa amekosea.ila wazo lake.ni zuriMkuu, kumaliza ubishi, tutajie jina la mkuu wa wilaya ya Chalinze.
Au mkuu unachanganya mambo haya mawili.
1. Wilaya
2. Halmashauri ya wilaya.
Kama yanakuchanganya
1. Bagamoyo ni wilaya
2. Wilaya ya Bagamoyo ina halmashauri za wilaya mbili ambazo ni
1. Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo
2. Halmashauri ya wilaya ya Chalinze.
Kama bado unachanganya mafaili, rejea swali nililokuuliza, mkuu wa wilaya ya Chalinze ni nani?
Asipo kuelewa hapa atakua na tatizo,ila watu wengi wakisikia halmashauri ya wilaya fulan ,wanajua ni wilayaMkuu, kumaliza ubishi, tutajie jina la mkuu wa wilaya ya Chalinze.
Au mkuu unachanganya mambo haya mawili.
1. Wilaya
2. Halmashauri ya wilaya.
Kama yanakuchanganya
1. Bagamoyo ni wilaya
2. Wilaya ya Bagamoyo ina halmashauri za wilaya mbili ambazo ni
1. Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo
2. Halmashauri ya wilaya ya Chalinze.
Kama bado unachanganya mafaili, rejea swali nililokuuliza, mkuu wa wilaya ya Chalinze ni nani?