kusoma ni muhimu.ila inategemea na nini unasoma. it is not enough to read, but read something that is worth reading. Vitabu vizuri vinapanua uelewa na jinsi ya kufikiri, vinajenga concentration (hii ni muhimu sana especially kwa watoto).
Ila utamaduni wa kujisomea vitabu huwa unajengwa, hauji ghafla. wengi wa watu wanaopenda kujisomea wametokea kwenye families ambazo usomaji unapewa umuhimu/ kipaumbele. ndio maana wazungu wanawasomea vitabu wtt wao tokea wakiwa wadogo, wanawanunulia story books
kuna umuhimu wa kuwajengea wtt wetu utamaduni wa kusoma vitabu, mtoto anayependa kusoma anakuwa na uwezo mkubwa wa ku-concetrate hata kwenye masomo (sio ya lugha na history tu, masomo yote). so, hata unapomnunulia mtt kitabu, jaribu kutafuta kile ambacho kita-stretch imaginations zake, kitamfanya aweze ku-connect anayosoma na real life anayoishi, na hata wanayoishi wengine