kindikinyer leborosier
JF-Expert Member
- Jan 6, 2018
- 456
- 833
- Thread starter
-
- #21
asante nimepata kitu mwanaume!!nilikuw napoint mkuu
nikipoint tshirt 5000 nauza 9000 au 10000
nikipoint surual 6000 nauza 12000 au 10000
viatu vilinishinda nikaachananavyo ila vina faida ,huenda location haikuw nzur kwa viatu
Okay ingia songwe na s Wanga huko ufanye Biashara ya mazao.nipo mwanza
Jifunze jinsi wafanyabiashara wa samaki mbichi sangara/sato hapo mwanza wanavyonunua kwa wavuvi direct na wanavyouza kwa suppliers wa mikoani.mm ni mhandisi wa mawasiliano, napenda sana nifanye biashara hizo lkn huo ni mtaji mkubwa sana.. huez anza hata na ofisi tuu kwa hizo pesa
Njoo kijana mwenzangu kwenye biashara ya mahindi utajutia mkuu.Asalaam wanajamii wenzangu!
.
.
mimi ni mhitimu wa chuo, nimehitimu miaka kadhaa iliyopita, kwa hali zetu kwa sasa ni ngumu kupata ajira, nimejipiga sana nikasave sh. Mil 3 kwenye harakati za mtaani!
.
.
nawaza kwa mtaji wangu huu nifanye biashara gani? nipo mwanza kaa utafutaji! asante!!
Huu sasa Uoga...!Achana na bodaboda utanishukuru baadae….
Et boda 10 nyieeeeee
Huu sasa Uoga...!
Ukiona Hutaki Ku take risk hata Kidogo Maishani Mwako sasa Wewe Kilichobaki mbele yako ni...
Sanda...
Jeneza...
KABURI...!
Take risk.....it is part and Parcel of Life..
Achana na bodaboda utanishukuru baadae….
Et boda 10 nyieeeeee
Huu ushauri huwaga ni wa kidwanzi siku zoteIdea yako ni ipi kwanza, pia hobbies zako ni zipi?
Tuanzie hapo
Mkuu share experience yako kwenye hii biashara tafadhaliNjoo kijana mwenzangu kwenye biashara ya mahindi utajutia mkuu.
Uoga wanini mzee kwani hamna waliotoboa kupitia huo mchongo?? Unawajua akina big boss na wengine wenye hizi daladala zinazotamba mjini?? Unajua walianzaje ?? Fanya kitu roho inapenda rich and risks are relativesAchana na bodaboda utanishukuru baadae….
Et boda 10 nyieeeeee
Kila mtu anaweza kufanya biashara ila sio kila biashara inaweza kufanywa na kila mtu.Huu ushauri huwaga ni wa kidwanzi siku zote
Kama uliweza kutengeneza m3 mtaani komaa mtaani utengeneze tena tatu acha kuanza ishu mpya kama huna backup ya capitalAsalaam wanajamii wenzangu!
.
.
mimi ni mhitimu wa chuo, nimehitimu miaka kadhaa iliyopita, kwa hali zetu kwa sasa ni ngumu kupata ajira, nimejipiga sana nikasave sh. Mil 3 kwenye harakati za mtaani!
.
.
nawaza kwa mtaji wangu huu nifanye biashara gani? nipo mwanza kaa utafutaji! asante!!
Ingependeza ukafunguka kidogoNjoo kijana mwenzangu kwenye biashara ya mahindi utajutia mkuu.
Upo maeneo gan boss ?Mtaji wako ni mdogo
Kama uko mjini, angalia soko la kuuza charger za komputa kama dell, acer, hp etc.
Nitakusaidia kuzipata kwa bei rahisi.
My whatsapp no.
00971527369138
Banda lako lipo wapi nije nipate ujuziKama ni mgeni na biashara usifanye biashara anza na huduma kama ya chakula na juice au banda la mpira hutojutia ila biashara ina mambo mengi sana na ukizingatia mitaji yenyewe ni ya kudunduliza mi nilifungua banda la mpira ila kwa hyo hela kwa sport centre haitatosha jaribu kitu kingine positive.