Ushauri nifanye biashara gani kwa mtaji wa Milioni 3?

Ushauri nifanye biashara gani kwa mtaji wa Milioni 3?

kama uko mwanza nenda pale mtaa wa lumumba kuna dogo mmoja anauza vifaa vyote vya simu kwa bei ya jumla vtu vya mlion moja na nusu n mzgo wa kutosha kapate sehm fungua phone accesory huta kaa ujutie edfon unanunua 1200 unauza 7000 mpka 5000 kutokana na ulipo chaj 2500 unauza 10000 mpka 15000 na n fast chaj mm nmeifanya hii biashara na uyo dogo kama mental wangu na ikanvusha sehm inamzunguko mkubwa mana kila sku watu wanahitaj chaj edfon protector cover za cm betr nk asee unamtaj mkubwa sana uktulza akil
 
Kama uko eneo ambalo una jina,
Kodi chumba 300,000 -600,000 miezi sita
Nunua desktop ya 250k nunua mamovie mengi anaza kukodisha na kuuza,

2. Nenda mwenge au kariakoo nunua viatu vile vya ngozi kwa 4000
Jaza kwenye frem yako uza

3. Nenda karume alfajiri wakifungua mabaloo yao, chagua raba kali za buku 200-3000 au viatu vya wanawake . Leta nyumbani safisha boresha, panga dukani uza panga bei

Nienda buguruni au mbagala kwa mchina nunua sandals zile kama za yebo yebo kwa 3000+ , nenda kauze 6000+

Za kuambiwa…..!
 
Fanya ivi, nenda kubet, chukia odds 5 tu, ukipasua unakua na 15M, babu hujatoka tu
 
Wakuu habari zenu,naomba msaada wa ushauri wa biashara kwa mtaji wa milioni 3 ambayo naweza kiwa natengeneza faida ya 100k kwa wiki.AAsante
 
Kama uko eneo ambalo una jina,
Kodi chumba 300,000 -600,000 miezi sita
Nunua desktop ya 250k nunua mamovie mengi anaza kukodisha na kuuza,

2. Nenda mwenge au kariakoo nunua viatu vile vya ngozi kwa 4000
Jaza kwenye frem yako uza

3. Nenda karume alfajiri wakifungua mabaloo yao, chagua raba kali za buku 200-3000 au viatu vya wanawake . Leta nyumbani safisha boresha, panga dukani uza panga bei

Nienda buguruni au mbagala kwa mchina nunua sandals zile kama za yebo yebo kwa 3000+ , nenda kauze 6000+

Za kuambiw

Kama uko eneo ambalo una jina,
Kodi chumba 300,000 -600,000 miezi sita
Nunua desktop ya 250k nunua mamovie mengi anaza kukodisha na kuuza,

2. Nenda mwenge au kariakoo nunua viatu vile vya ngozi kwa 4000
Jaza kwenye frem yako uza

3. Nenda karume alfajiri wakifungua mabaloo yao, chagua raba kali za buku 200-3000 au viatu vya wanawake . Leta nyumbani safisha boresha, panga dukani uza panga bei

Nienda buguruni au mbagala kwa mchina nunua sandals zile kama za yebo yebo kwa 3000+ , nenda kauze 6000+

Za kuambiwa…..!
Natamani kujua hii ya mbagala mi hua nachukua hapo Narung'ombe kama sijakosea mtaa.
 
1.car wash ,hapa unaitaji kuwa na location nzuri tuu ,utaanza na car wash ya kawaida itakayo osha magari madogo,Balaji, pikipiki na mazuria ,maitaji ni ,tank la maji ,mashine ya kuosha gari na mashine ya kutoa vumbi nakushauru muwe mawili wewe na msaidizi wako mtaji 2.5M

2.phone accessories sambamba na huduma ya kipesa hapa utakuwa unapoga ndege wawili kwa wakati mmoja pia inakuitaji uzijuwe gadget mbalimbali na simu mfano phone holder, phone case waterproof, nk ili uchanganye kwenye izo phone accessories

Biashara ya vipodozi hapa mtaji wake ni mkubwa pia unaweza kuwanza na kiasi ulichokuwa nazo unachotakiwa kujuwa vipodozi na urembo wa wanawake mtaji wa 2.5M unaweza kuwanza nao 500k ukaweka kama bank up Kadri utakavyouza utagundua bidhaa zitakazoitajika zaidi unaweza kuitumia iyo 500k Biashara hii unatakiwa usiwe na tamaa na wanawake ukijichanganya umekwisha nakutakia kila la kheri
 
Back
Top Bottom