Hii namba mbona kama haipo sahihiMtaji wako ni mdogo
Kama uko mjini, angalia soko la kuuza charger za komputa kama dell, acer, hp etc.
Nitakusaidia kuzipata kwa bei rahisi.
My whatsapp no.
00971527369138
Hii ni namba ni ya uae iko sahihiHii namba mbona kama haipo sahihi
Viatu pasua kichwa kaka we acha tunilikuw napoint mkuu
nikipoint tshirt 5000 nauza 9000 au 10000
nikipoint surual 6000 nauza 12000 au 10000
viatu vilinishinda nikaachananavyo ila vina faida ,huenda location haikuw nzur kwa viatu
Eneo ulipo??Mtaji wangu ni mil3
Vya kike au kiumeViatu pasua kichwa kaka we acha tu
Kama uko eneo ambalo una jina,
Kodi chumba 300,000 -600,000 miezi sita
Nunua desktop ya 250k nunua mamovie mengi anaza kukodisha na kuuza,
2. Nenda mwenge au kariakoo nunua viatu vile vya ngozi kwa 4000
Jaza kwenye frem yako uza
3. Nenda karume alfajiri wakifungua mabaloo yao, chagua raba kali za buku 200-3000 au viatu vya wanawake . Leta nyumbani safisha boresha, panga dukani uza panga bei
Nienda buguruni au mbagala kwa mchina nunua sandals zile kama za yebo yebo kwa 3000+ , nenda kauze 6000+
Za kuambiw
Natamani kujua hii ya mbagala mi hua nachukua hapo Narung'ombe kama sijakosea mtaa.Kama uko eneo ambalo una jina,
Kodi chumba 300,000 -600,000 miezi sita
Nunua desktop ya 250k nunua mamovie mengi anaza kukodisha na kuuza,
2. Nenda mwenge au kariakoo nunua viatu vile vya ngozi kwa 4000
Jaza kwenye frem yako uza
3. Nenda karume alfajiri wakifungua mabaloo yao, chagua raba kali za buku 200-3000 au viatu vya wanawake . Leta nyumbani safisha boresha, panga dukani uza panga bei
Nienda buguruni au mbagala kwa mchina nunua sandals zile kama za yebo yebo kwa 3000+ , nenda kauze 6000+
Za kuambiwa…..!