Abeeeeh nimejisemea tu mimi ujue ngumu kumeza [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] shoga mwenyewe umpate kama shunie hapa nitakucheka sanaShunie [emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ai wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wakinogewa na ndoa yake itakufaAsantee kwa ushauri mkuu nami nilimshauri hivyo hivyo nikamwambia Sio sabuni kwamba itaishia[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha inaonesha tu mkuu, una speed kali sana, ngoja nimalizie kwanza hii nije kuzimua badae.Huu uzi ni mbege tosha mkuu
Asantee kwa ushauri my [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pole sana Jakitoo, onja tu kidogo nina imani ladha yake ni chungu hutoweza kurudia tena
AsubutuuuuuuuuMumeo ndio kikwazo? kwanini sasa?
Wewe beba vilago vyako akiwemo na huyo house boy mkaanze maisha mbele ya safari, hapo ndio utajua una mapenzi nae au shibe ya jasho la mumeo ndio imekufanya utamani hovyo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wapi hao mamiiWale wa kwako vipi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante kwa kuwa muwazi myAsantee kwa ushauri my [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Itokee ninii hiyo mshipa wake mtu
Kwanini mkuu[emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kumbe mtu ukitoweka humu kwa muda mrefu unageuka jinsia....
Sawa mkuu, ila ukipoa ladha nayo inapunguaHahahaha inaonesha tu mkuu, una speed kali sana, ngoja nimalizie kwanza hii nije kuzimua badae.
Sent using Jamii Forums mobile app
Vikwazo huwa tunaviondoa ili tuweze kusonga mbele. Muwekee mumeo sumu ya panya kwenye msosi. Case closed. Kikwazo kimeondoka then songa mbele na houseboy wako.mimi hoi jamani namtamani kwelikweli kila nikimuona nalowa ila mume wangu ndo kikwazo
Nipo tu nausubiri kwa hamu hope utakuwa mzuri
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Acha kutuchongea.Tuache tujimwageeeeeHii ndio jamii forum mpya!! Mambo ya kuandika instagram na facebook yanakuja huku. Kuna haja sasa ya moderators kuwa selective kwenye thread
Sent using Jamii Forums mobile app
Uliandika neno ambalo lilionesha jinsia tofauti
SwadaktaaNipo tu nausubiri kwa hamu hope utakuwa mzuri