Ushauri: Nimekuja kugundua naishi na mwanamke ambaye amewahi kuugua Ukichaa

Ushauri: Nimekuja kugundua naishi na mwanamke ambaye amewahi kuugua Ukichaa

Joined
Sep 19, 2020
Posts
10
Reaction score
27
Kuna mwanamke naishi naye mwezi wa Sita, sasa ila nimekuja kuambiwa na mtu wa karibu kutoka Familia yao kuwa huyu mwanamke alishawahi kuugua ukichaa mwaka 2015 akatibiwa akapona. Tatizo ni mie baada ya kujua nimeanza kuogopa.

Je hili likoje? Nishawahi sikia kua mtu kama aliwahi kua kichaaa huwa kinarudi tena hata bada ya miaka kadhaa, Je ni Kweli mtu akiwahi kuwa kichaa huwa hakiponi kabisa bali kinatulia hata miaka kadhaa halafu kinarudi?
 
Kuna mwanamke naishi naye mwezi wa Sita Sasa ila nimekuja kuambiwa na mtu wa karibu kutoka Familia yao kuwa huyu mwanamke alishawahi kuugua ukichaa mwaka 2015 akatibiwa akapona. Tatizo ni mie baada ya kujua nimeanza kuogopa. Je hili likoje? nishawahi sikia kua mtu kama aliwahi kua kichaaa huwa kinarudi tena hata bada ya miaka kadhaa, Je ni Kweli mtu akiwahi kuwa kichaa huwa hakiponi kabisa bali kinatulia hata miaka kadhaa halafu kinarudi?

Mlifunga ndoa kanisani? Kama ndiyo rejea kiapo chako na kiheshimu, Mungu ni mwema atakuvusha!
 
Asilimia kubwa ya watu wanaugua kichaa mara moja au zaidi katika maisha yao...
Cha kuzingatia ni kujua ni tatizo gani la akili alilokua nalo na lilipatikana vp...

Inaweza kuwa cerebral malaria, depression, anxiety au shida nyingne ya kisaikolojia iliosababishwa na stress za maisha/mapenzi/masomo n.k ukamhukumu kumbe ilikua ishu ya mpito tu na haitarudi tena.

Jaribu kupata taarifa kutoka kwenye credible source then fanya maamuzi.
 
Asilimia kubwa ya watu wanaugua kichaa mara moja au zaidi katika maisha yao...
Cha kuzingatia ni kujua ni tatizo gani la akili alilokua nalo na lilipatikana vp...

Inaweza kuwa cerebral malaria, depression, anxiety au shida nyingne ya kisaikolojia iliosababishwa na stress za maisha/mapenzi/masomo n.k ukamhukumu kumbe ilikua ishu ya mpito tu na haitarudi tena.

Jaribu kupata taarifa kutoka kwenye credible source then fanya maamuzi.
Yap vzr kujua chanzo cha tatizo
 
Mim mwenyewe nlioa kichaa...siku moja naamka asubuhi najishtukia Nina kisu kimezama tumboni.... inshort sikufanikiwa kupona ila sasaivi nipo mbinguni Mungu Ni mwema
Pumbavu mkubwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom