Dolla_Mbili
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 1,207
- 2,981
We ishi nae tu mkuu, kwan amekuletea mawenge yoyote??....we endelea kufurahia maisha kama kawaida siku kikiibuka kichaa hospital zao zipo na wanatibiwa tu kama magonjwa mengine, kikipona ama kutulia unaendelea kula tamu yako bn
Unawezakuta aliyekufikishia ujumbe hana nia njema pia aisee, chakufanya pia kama anao ujacri wa kusema mbele ya mke wako maneno aliyokupa ni sawa ila kama hawezi Kuna tatizo.
Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako
Unawezakuta aliyekufikishia ujumbe hana nia njema pia aisee, chakufanya pia kama anao ujacri wa kusema mbele ya mke wako maneno aliyokupa ni sawa ila kama hawezi Kuna tatizo.
Akili ya kuambiwa changanya na ya kwako