Capital G
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 3,445
- 5,336
We mpelekee motoo, peleka motoo [emoji38]We mpelekee moto vizuri tu hakitarudi tena..
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We mpelekee motoo, peleka motoo [emoji38]We mpelekee moto vizuri tu hakitarudi tena..
Kuna mwanamke naishi naye mwezi wa Sita Sasa ila nimekuja kuambiwa na mtu wa karibu kutoka Familia yao kuwa huyu mwanamke alishawahi kuugua ukichaa mwaka 2015 akatibiwa akapona. Tatizo ni mie baada ya kujua nimeanza kuogopa. Je hili likoje? nishawahi sikia kua mtu kama aliwahi kua kichaaa huwa kinarudi tena hata bada ya miaka kadhaa, Je ni Kweli mtu akiwahi kuwa kichaa huwa hakiponi kabisa bali kinatulia hata miaka kadhaa halafu kinarudi?