CHUKUA USHAURI HUUUna ndugu wa kike,i mean dada zako,mama yako mzazi au wadogo au ma mkubwa? Ongea nao watakusaidia ila kama uliwalea watoto kwa misingi ya ajabu(unawapa uhuru mwingi,pesa ndogo ya matumizi,hujali wanatatizo au hawana,unachelewa kurudi nyumbani) itakua kazi sana kumrudisha mstarini
Shukrani mkuu.Una ndugu wa kike,i mean dada zako,mama yako mzazi au wadogo au ma mkubwa? Ongea nao watakusaidia ila kama uliwalea watoto kwa misingi ya ajabu(unawapa uhuru mwingi,pesa ndogo ya matumizi,hujali wanatatizo au hawana,unachelewa kurudi nyumbani) itakua kazi sana kumrudisha mstarini
Watu wakatili washakupigiaHabari zenu wana JF,
Niingie kwenye mada, binti yangu yupo kidato cha pili sasa hivi na ana miaka 14. Leo asubuhi hii ameenda shule. Mimi na mama yake tumeachana kwa hiyo watoto nakaa nao mimi mwenyewe na sina mke kwa sasa.
Leo hii asubuhi naingia chumbani kwake nakuta kimkoba kidogo kitandani kwake na nashawishika kukifungua. Napata mshtuko wa mwaka nakuta kikaratasi cha (URINE PTEGNANCY TEST) kilichotumika.
Nimechanganyikiwa sijui niongee nae nini.
Naombeni ushauri wana jamii na wazazi wenzangu, 14yrs?
Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
Tatizo sio mimba dada,tatizo kaanza mapema ule mchezo.ndo mzee anahuzunika.akifikiria MAGUFULI HASOMESHI WAZAZI.anazidi pagawa.pole sana mkuu! mie nadhan ongea kwanza na mama yao umweleze!nae anaweza mwita ajue atamuingiaje! dah miaka 14 mbn bado katoto kbs! Ee Mungu muepushe mtoto huyu na mimba !
Tatizo sio mimba dada,tatizo kaanza mapema ule mchezo.ndo mzee anahuzunika.akifikiria MAGUFULI HASOMESHI WAZAZI.anazidi pagawa.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app