Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Hakika suala la kutengana wazazi huwa ni baya sana, wakati mna ugomvi na ligi za hapa na pale huwa tunakuwa watemi sana kila mtu mbabe kuwa kama vipi tuachane usinitishe nk, ila matokeo yake huwa sio chanya kabisa yaani. Kuna kipindi katika mahusiano swala la kuwa right unatakiwa ulifanye second, kuna kipindi tunatakiwa kuacha baadhi ya mambo yapite hata kama tunaamini 'we are right'. Sisemi wewe una makosa wala sisemi mkeo ana makosa, nachosema mlikosea sana kuachana. Haya huwa ndio matokeo yake.

Kwa sasa mkuu chukua tahadhari sana. Hiyo ya kujipima mimba ni moja tu ya mengi yaliyojificha. Kwa imani ya dini yako funga na kusali. Watoto wakianzaga huu ujinga inakuwa tabu sana. Jaribu kuongea nae (Ikiwa unaamini una urafiki nae) kama hamna urafiki kati yako na watoto jaribu kutafuta watu waongee nae.

Pole mkuu.
 
Habari zenu wana JF,

Niingie kwenye mada, binti yangu yupo kidato cha pili sasa hivi na ana miaka 14. Leo asubuhi hii ameenda shule. Mimi na mama yake tumeachana kwa hiyo watoto nakaa nao mimi mwenyewe na sina mke kwa sasa.

Leo hii asubuhi naingia chumbani kwake nakuta kimkoba kidogo kitandani kwake na nashawishika kukifungua. Napata mshtuko wa mwaka nakuta kikaratasi cha (URINE PTEGNANCY TEST) kilichotumika.

Nimechanganyikiwa sijui niongee nae nini.

Naombeni ushauri wana jamii na wazazi wenzangu, 14yrs?
e88bf85a623157bfa9b5e80d09c881e5.jpg



Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
Habari zenu wana JF,

Niingie kwenye mada, binti yangu yupo kidato cha pili sasa hivi na ana miaka 14. Leo asubuhi hii ameenda shule. Mimi na mama yake tumeachana kwa hiyo watoto nakaa nao mimi mwenyewe na sina mke kwa sasa.

Leo hii asubuhi naingia chumbani kwake nakuta kimkoba kidogo kitandani kwake na nashawishika kukifungua. Napata mshtuko wa mwaka nakuta kikaratasi cha (URINE PTEGNANCY TEST) kilichotumika.

Nimechanganyikiwa sijui niongee nae nini.

Naombeni ushauri wana jamii na wazazi wenzangu, 14yrs?
e88bf85a623157bfa9b5e80d09c881e5.jpg



Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
Ni mtoto wako?just ask her okay?huna haja ya kumficha kuwa umeona hicho kifaa,muulize akirudi akupe maelezo,akimaliza unaenda naye hospital kesho akapime period!Dunia ya kuficha ficha vitu imepitwa na wakati.watoto wanagoogle wanajua,ndio maana hadisi za uwongo za sungura hazipo tena
 
pole sana mkuu! mie nadhan ongea kwanza na mama yao umweleze!nae anaweza mwita ajue atamuingiaje! dah miaka 14 mbn bado katoto kbs! Ee Mungu muepushe mtoto huyu na mimba !
Malizia sala Mungu mwepusha mtoto huyu na condemnation ya Rais!

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
naelewa lakin tusimuumize kihisia maana wote tunaelekea hukohuko!binafs nimeumia coz navyowish kuwa na mtoto wa kike...mie naomba asiwe amenasa!na wala asimuadhibu kwa mifimbo!inaumiza sana kwakweli!
Ukiwa na mtoto wa kike jiandae kwa yote.ni ngumu mpaka aje kufunga ndoa kwamba hajaguswa.tuwaombee tu

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
 
Kauli ya Mhishimiwa Rais imemuogopesha,anaji-check mapema kabla mambo hayajaharibika.kizazi hiki Mungu tu atutunzie watoto wetu.

Sent from my HUAWEI Y625-U32 using JamiiForums mobile app
 
Ukiwa na mtoto wa kike jiandae kwa yote.ni ngumu mpaka aje kufunga ndoa kwamba hajaguswa.tuwaombee tu

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app


Si kweli mkuu! mie twin angu ndo alikua kivuruge hasa na alikua 'he' ni ntu na ntu! mie sikuwga kivuruge kias kwamba had mzaz ajue hapana!tena mie nawahofia zaid wakiume maana wakianza na visauti vyao baasi!bangi ,masigara nk!
 
Habari zenu wana JF,

Niingie kwenye mada, binti yangu yupo kidato cha pili sasa hivi na ana miaka 14. Leo asubuhi hii ameenda shule. Mimi na mama yake tumeachana kwa hiyo watoto nakaa nao mimi mwenyewe na sina mke kwa sasa.

Leo hii asubuhi naingia chumbani kwake nakuta kimkoba kidogo kitandani kwake na nashawishika kukifungua. Napata mshtuko wa mwaka nakuta kikaratasi cha (URINE PTEGNANCY TEST) kilichotumika.

Nimechanganyikiwa sijui niongee nae nini.

Naombeni ushauri wana jamii na wazazi wenzangu, 14yrs?
e88bf85a623157bfa9b5e80d09c881e5.jpg



Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
pole sana nahisi unavyoumia, cha msingi kaa naye kitako na umwulize kwa upole kulikoni? baada ya hapo umpe prons and cons za mapenzi kabla wakati. Hope atakuelewa.
 
Imwase wala usitafute makundi ya watu wataharibu!
Maisha yamebadilika sana wala usione ukakasi kukaa na bint yaki na kumchana mubashara (angalizo usimkasrikie ila onesha how much you are dissapointed).
Huyo bint yetu ameshapea kimaumbike na wahuni wanafanya yao .
Ongea nae kuhusu matendo yake usimungunye maneno keshakuwa huyo.
Mwambie matokeo chanya ya anachokifanya kwa mtindo wa kebehi (ili ajione anafanya ujinga) kama unaona raha na upuuzi mwingine ambapo ni kwa muda mfupi hata wewe kuitwa babu weka kwenye chanya(yes kila mtu anapenda kuwa babu /bibi modus yake ndio inakera)
Baada ya hapo mrushie zike negative zote ukitafuta mifano hai kwa watu ambao wote mnawafahamu.
Mwambie nini kitampata/kitaweza kumpata akipata mimba ya utotoni kiafaya
Mwambie na atambue kuwa unamsomesha ili awe na maisha bora na lazimisha akupe jawabu muda huo huo kama anahisi kusoma ni tatizo basi aache kuhudumia shule akazurule huko (hapo unaeka sura ya kishetani).
Mwambie ajiulize akisoma vizuri miaka sita ijayo atakuwa wapi na anafanya nini
Na wakati huo huo afikirie posibility ya yeye na huyo mwanamme wake kama watakuwa pamoja kwa miaka yote hiyo ?akiwa hana uhakika mwambie huu ni wakati wa kuachana na hayo mambo !
Kwa kifupi kaa uyachambue maisha yake pamoja nae ,mshirikishe mzazi mwenzako pia .
Kuwa protective kwa bint mwoneshe kuwa umechukizwa na hilo na make sure ana confess na kujutia matendo yake.
Fanya aahidi kuwa hatofanya yale tena!
Kumbuka hata mwacha kirahisi huyo mshenzi mwenzake na ukigundua anafanya tena kasirika kupita maelezo usimpige ila kamata akupeleke kwa bwana wake na wazazi wake piga mkwara wa kufa mtu shirikisha vyombo vya usalama hapa .
Majawabu utakayo pata huko yatadecide aina ya kichapo cha kumpa na kutishia kufuta ihusiano wenu wa baba na mwana!
Hayo ni mawazo yangi na si blue print unaweza kui mprovise kulingana na mazingira halisi maana mambo ya kulea ni kama kutongoza tu unajua lengo lako ila jinsi ya kutimiza ni sarakasi tu lakini mwishowe unafanikiwa




Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Mzee mwenzangu,pole sana kwa hilo tatizo,shusha pumzi,jipe nafasi kidogo upunguze hasira na jazba,halafu kaa chini wewe na binti tu,zungumza nae,kwa ukweli na uwazi,jukumu la kumlea mtoto ni lako wewe kumpa miongozo sahihi na kumrekebisha pale anapokosea,sioni kwa nini uwakaribishe watu wengine katika tatizo hili ni mtoto,kwangu mimi naona ni mapema sana.
Zungumza na mtoto kirafiki kabisa,kumbuka kwa kizazi hiki watoto wetu wanakuwa watu wazima wakiwa na miaka 10 tu huo ndio uhalisia,mueleze alivyokuumiza na mueleze jinsi ambavyo unamthamini kiasi kwamba hujamwambia mtu mwingine yoyote tatizo hili,zungumzeni kwa uwazi,urafiki na upendo,naamini binti atajenga imani na wewe,na atakueleza kwa kina kinachoendelea,kutokea hapo utaelewa ukubwa wa tatizo ulilonalo na utapata njia sahihi ya kudeal nalo,

Pole sana,ulezi kazi ngumu sana mshirikishe na MUNGU pia kwenye hii kazi.
Kingine jitahidi kubadili tabia yako kadri utakavyoweza ili kwenda sambamba na binti,mfano ukali,ulevi,kuchelewa kurudi home na kutompa nafasi ya kuongea nae.
 
Si kweli mkuu! mie twin angu ndo alikua kivuruge hasa na alikua 'he' ni ntu na ntu! mie sikuwga kivuruge kias kwamba had mzaz ajue hapana!tena mie nawahofia zaid wakiume maana wakianza na visauti vyao baasi!bangi ,masigara nk!
Mrs air hapo inabisha nini sasa?twin wako kivuruge anavuruga na nani?jawabu na mtoto wa kike!
Aluchosema mdau ni sahibi kuwa watoto wote wanapitoka ila wakike upotokaji wake unamuharibia maisha.
Sio kila bint anaweza kujilinda na mbaya zaidi uharibifu hauanzii kwaonbali hushambuliwa na jamii ya fataki mpaka wana give in!
Wakiume watu huhofia mibangi na mingada japokuwa siku hizi nalo la ushoga linatia homa kama unakijana wako!

Sent from my SM-G900F using JamiiForums mobile app
 
Una ndugu wa kike,i mean dada zako,mama yako mzazi au wadogo au ma mkubwa? Ongea nao watakusaidia ila kama uliwalea watoto kwa misingi ya ajabu(unawapa uhuru mwingi,pesa ndogo ya matumizi,hujali wanatatizo au hawana,unachelewa kurudi nyumbani) itakua kazi sana kumrudisha mstarini
Ushauri kuntu japo umesahau kumkumbusha amshirikishe Mungu kwenye malezi yake.

Miaka 14?? Lord have mercy!
 
Kwanza kiri moyoni wazazi wawili mlikosea. Huyo dogo alipata uhuru saana haiwezekani mtoto wa miaka 14 afanye hayo.

Binafsi : ningemuita kirafiki nikamuuliza kipimo ni cha nini na anitajie ameanza lini huo mchezo. Friendly kabisa. Asiposena nitampiga hadi atakiri.

Akishakiri tunakaa tunazungumza namshauri kama mwanangu na nampa miongozo ya kuishi. Kuwa naye karibu saana.
 
Hahaha nimefurahi kukuona

Hapo juu ya comments amejibu,lawama kamtupia mama mtoto wake hivyo hawez waza kumshirikisha Mwenyezi Mungu zaidi ya kulaumu tu bila kuchunguza chanzo cha mkasa mzima
Ushauri kuntu japo umesahau kumkumbusha amshirikishe Mungu kwenye malezi yake.

Miaka 14?? Lord have mercy!
 
Habari zenu wana JF,

Niingie kwenye mada, binti yangu yupo kidato cha pili sasa hivi na ana miaka 14. Leo asubuhi hii ameenda shule. Mimi na mama yake tumeachana kwa hiyo watoto nakaa nao mimi mwenyewe na sina mke kwa sasa.

Leo hii asubuhi naingia chumbani kwake nakuta kimkoba kidogo kitandani kwake na nashawishika kukifungua. Napata mshtuko wa mwaka nakuta kikaratasi cha (URINE PTEGNANCY TEST) kilichotumika.

Nimechanganyikiwa sijui niongee nae nini.

Naombeni ushauri wana jamii na wazazi wenzangu, 14yrs?
e88bf85a623157bfa9b5e80d09c881e5.jpg



Najisikia fahari kuwa MTANZANIA


NONE OF YOUR BUSINESS ..... KAMA ULIMLEA VIBAYA HAYO NDO MATOKEO .....
 
Hahaha nimefurahi kukuona

Hapo juu ya comments amejibu,lawama kamtupia mama mtoto wake hivyo hawez waza kumshirikisha Mwenyezi Mungu zaidi ya kulaumu tu bila kuchunguza chanzo cha mkasa mzima
Miaka 14 bado mdogo sana. Mungu awanusuru mabinti zetu. Maana mkuu kasema hasomeshi wazazi.
 
14 years? Aisee halafu kuna watu wanasubiri eti hadi waje kuoa... Dunia imeharibika
 
Back
Top Bottom