Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Ushauri: Nimekuta 'urine pregnancy test' kwenye kimkoba cha binti yangu

Mkuu nianze kwa kukukupa pole. Hapo mtoto tayari ashakua sasa hivi na yeye gegedwa cha kufanya mshushie kipondo kwanza ajue umechukizwa pili ongea naye umueleze hasara za hicho alichoanza kukifanya pia umueleze msimamo wako nn utamfanya akipata madhira yoyote kuhusu mambo anayoyafanya. Huyo binti bado mdogo sana unaweza kumrudisha kwenye mstari ila ukitumia njia za udigitally eti kuongea naye tu kama rafiki bila kumrudi kwa viboko sidhani kama utapata matokeo chanya. Kwa mtazamo wangu mm lazima umfanye ajutie alichofanya na kuogopa kurudia tena hii itamfanya awe makini.
 
pole sana mkuu! mie nadhan ongea kwanza na mama yao umweleze!nae anaweza mwita ajue atamuingiaje! dah miaka 14 mbn bado katoto kbs! Ee Mungu muepushe mtoto huyu na mimba !
Asante sana mkuu.Dua zako naomba MUNGU azipokee.
Mimi sitamuuliza chochote,nina hofu nisimuulize alafu akanijibu sivyo alafu nikamtia mkononi.
Nimeongea na mama yake labda wanaweza ongea lugha yenye kufanana lakini sitamuuliza chochote


Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kiukweli mimi uwa sipendi UPEKUZI.MAANA UTAJIPA PRESHA.

Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Hupendi upekuzi kwa mke sawa lakini kwa mtoto lazima uwe mpekuzi labda utaweza kumrekebisha kabla mambo hajaharibika

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Asante sana mkuu.Dua zako naomba MUNGU azipokee.
Mimi sitamuuliza chochote,nina hofu nisimuulize alafu akanijibu sivyo alafu nikamtia mkononi.
Nimeongea na mama yake labda wanaweza ongea lugha yenye kufanana lakini sitamuuliza chochote


Najisikia fahari kuwa MTANZANIA


pole sana ! usiumie moyo sana hayo ndo malezi na changamoto zake! pia nikukumbushe tena jinsia hii ya kike huwa tuna akili za haraka haraka sana kuwa makini jaman! yaan au fumba macho uoe!
 
Mkuu, kama wewe ni mtu ambae huwa unaweza ukakaa na mtu na ukaweza ukamshauri basi kaa na huyo binti, mueleze ni namna gani unavyoumia na hatari iliyopo mbele yake.

Usijaribu kupanic na kumpima mimba tena, achana nae kabisa ila kaa nae tu na kumshauri. Ikiwezekana ita hata baadhi ya ndugu ambao unajua wanaweza wakawa wanaheshimika na huyo binti.
So far mimi siwezi ongea nae kwenye hili.ila nimemwambia mama yake na dada yangu waongee nae

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....

Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia

Kuweni na adabu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Ndugu unaye mtoto? Hawa watoto chini ya miaka 18 ni lazima umfatilie. Kama hapo mtoto anahitaji ushauri juu ya maisha yake. Baba asingeona ingekuaje?
.
.
Namfatilia mtoto wangu kwa kila kitu mpaka hapo atakapofikisha angalau 17.
 
Ndugu unaye mtoto? Hawa watoto chini ya miaka 18 ni lazima umfatilie. Kama hapo mtoto anahitaji ushauri juu ya maisha yake. Baba asingeona ingekuaje?
.
.
Namfatilia mtoto wangu kwa kila kitu mpaka hapo atakapofikisha angalau 17.


demi humu mie nimegundua kuna wattbwa miaka 19! amini hilo yan hum hatuna tena usalam ukihis wapo watu wanaojielewa! kuna katoto kalinifata bobo kna miaka 19 form six!vimeharibikiwa mnoo! na haya mambo ya kumnunulia mtoto simu ni kosa sana! na ukute na huyo nae wale wale yupo kwenye 20's
 
Mkuu taratibu.. Inawezekana na yeye yumo huku

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....

Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia

Kuweni na adabu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Baba asingefungua mkoba angejuaje yanayoendelea na binti yake na kupata ushauri alioupata hapo juu?
 
Hakika suala la kutengana wazazi huwa ni baya sana, wakati mna ugomvi na ligi za hapa na pale huwa tunakuwa watemi sana kila mtu mbabe kuwa kama vipi tuachane usinitishe nk, ila matokeo yake huwa sio chanya kabisa yaani. Kuna kipindi katika mahusiano swala la kuwa right unatakiwa ulifanye second, kuna kipindi tunatakiwa kuacha baadhi ya mambo yapite hata kama tunaamini 'we are right'. Sisemi wewe una makosa wala sisemi mkeo ana makosa, nachosema mlikosea sana kuachana. Haya huwa ndio matokeo yake.

Kwa sasa mkuu chukua tahadhari sana. Hiyo ya kujipima mimba ni moja tu ya mengi yaliyojificha. Kwa imani ya dini yako funga na kusali. Watoto wakianzaga huu ujinga inakuwa tabu sana. Jaribu kuongea nae (Ikiwa unaamini una urafiki nae) kama hamna urafiki kati yako na watoto jaribu kutafuta watu waongee nae.

Pole mkuu.
Mkuu.ni kweli usemayo.Nilijitahidi sana kuilea ndoa yangu for the sake of our kids but nilishindwa.
Nilimfanya mwenzangu awe KING na mimi ni MALKIA ili tudumu ktk ndoa yetu lakini ilishindikana na sasa haya ndo matokeo yake

Najisikia fahari kuwa MTANZANIA
 
Ukiona ivyo watu wanajilia matunda ya Taifa. Acha watu wale matunda

Sent from my SM-G950F using JamiiForums mobile app
 
Maisha yamebadilika sana nowadays upatikanaji wa vifaa hivi utoaji mimba Kwa namna moja umerahisisha maswala ya ngono zembe huku sekta ya Afya tunaona mengi yanafanyika mengi Kwa mlango wa nyuma wazazi walezi bilakujua watoto wadogo miaka 12-18 wanapigwa sana p...u na maambukizi Kwa mujibu wa mashirika tafiti yanatoa maelezo kwamba maambukizi ni makubwa Kwa hili kundi
Tujitahidi na wanetu maana ni shida mzazi jitahidi malezi kanisani msikitini watoto wamjue Mungu wapate hofu ya dhambi kama sisi jamani


Dr
 
He he mkubwa mwenzio huyo ujue ukifikishwa usipofikishwa naye she feels the same mheshimiane tuu hapo nyumbani
 
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....

Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia

Kuweni na adabu

Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
Mkuu wazazi wote wakiwa na mawazo kama yako, kauli ya Magufuli itawahusu.
 
Back
Top Bottom