Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umezidi umbea baba lazma uwe na adabu uwez kufungua mikoba ya mwanao....
Mm uyo dada angu tu au mtoto wa kike siwwz kufungua vitu vyako hata chumban kwake kuingia
Kuweni na adabu
Sent from my SHV-E275S using JamiiForums mobile app
itakuwa nyinyi ni vitoto vya secondari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].kiukweli mimi uwa sipendi UPEKUZI.MAANA UTAJIPA PRESHA.
Sent from my TECNO-Y4 using JamiiForums mobile app
Miaka 14 ni mtoto mdogo sana vinginevyo awe wa pande zile za akina nshomireee
itakuwa nyinyi ni vitoto vya secondari
hivi mnajua kuwa MZAZI NI MCHUNGA NA KILA MCHUNGA ATAULIZWA KUHUSU ALOWACHUNGA
mimi ushauri wangu first nenda polisi ongea na maafande vizuri hasa wakike kwanza apewe kibano akitaja anaemfanya kamata then utajua mwenyewe mtavyomalizana pengine utakuta mtuu mzima kabisa heli awe wa rika kidogo unaweza srma barehe zinawachanganya kuliko ukute anaemuharibu muendesha ni mtu mzima na midevu yake then nenda school kwake ongea na ticha wa nidhamu kirafiki amuadabisge na kibano huko kinaendelea wasichana wakishaanza kubanduliwa umri huo busara hazisaidii tena zaidi ya utemi tuu mm nawaambia nina uzoefu na wadogo zangu walikuwa wanaleta ukauzu km huo baada hapo heshima na adabu hakuna siasa katika mambo km hayo ni vipigo tu wasichana wanaogopa mzazi mkali sio hayo mambo ya urafiki eti kuwalea kizungu kuongea nao kiurafiki eti usimfatilie ni ujinga mwisho utalea wajukuu mkuu
Je ungekuta condoms ama pedi ilio tumika ingekuaje....[emoji15] [emoji15]
Hii kwahakika haipendezi sisi wababa kukagua vitu vya mabinti zetu.... Haya sasa, anza kutafuta mke ili akusaidie kukulelea binti yako na kumuelimisha kuhusu usichana wake.
Ukiona ngumu, mrudishe akalelewe na mama yake
Je ungekuta condoms ama pedi ilio tumika ingekuaje....[emoji15] [emoji15]
Hii kwahakika haipendezi sisi wababa kukagua vitu vya mabinti zetu.... Haya sasa, anza kutafuta mke ili akusaidie kukulelea binti yako na kumuelimisha kuhusu usichana wake.
Ukiona ngumu, mrudishe akalelewe na mama yake
Mkuu....dah!yatakufika tu mkuu!
Mkuu....
Hili sio la kunifika, na kwataarifa tu nami ni mzazi, tena nina binti anae elekea kulingana umri sawa na huyu alie tajwa.
Tatizo sisi kama wazazi hatuwajibiki kikamilifu kwenye kuwalea watoto na kuwafundisha maadili.
Kijana wangu aliwahi kunijia amenyoa kininini sijui wanaita wenyewe....... Hakika aliisoma namba kwa bakora zile, na bilashaka amekwisha tambua kwamba baba hapendi nini.
Pia nilipoanza kumuona binti yangu kama anaelekea kujipenda na kuanza kuoga akitaka asionekane....... Hapo nilichukua tahadhari na nilifanya niwezavyo hata nikampata mama ambae leo ndie mlezi wao.
Sina ninacho jisifia Mkuu......hhaaa haya bwana!we jisifu tu hapa
itakuwa nyinyi ni vitoto vya secondari
hivi mnajua kuwa MZAZI NI MCHUNGA NA KILA MCHUNGA ATAULIZWA KUHUSU ALOWACHUNGA
mimi ushauri wangu first nenda polisi ongea na maafande vizuri hasa wakike kwanza apewe kibano akitaja anaemfanya kamata then utajua mwenyewe mtavyomalizana pengine utakuta mtuu mzima kabisa heli awe wa rika lake kidogo unaweza sema barehe zinawachanganya kuliko ukute anaemuharibu ni mtu mzima na midevu yake then nenda school kwake ongea na ticha wa nidhamu kirafiki amuadabisge na kibano huko kinaendelea wasichana wakishaanza kubanduliwa umri huo busara hazisaidii tena zaidi ya utemi tuu mm nawaambia nina uzoefu na wadogo zangu walikuwa wanaleta ukauzu km huo baada hapo heshima na adabu hakuna siasa katika mambo km hayo ni vipigo tu wasichana wanaogopa mzazi mkali sio hayo mambo ya urafiki eti kuwalea kizungu kuongea nao kiurafiki eti usimfatilie ni ujinga mwisho utalea wajukuu mkuu