USHAURI: Nimemkamata mtoto wa miaka 11 anajichua bafuni akiwa anajiandaa kwenda shule

USHAURI: Nimemkamata mtoto wa miaka 11 anajichua bafuni akiwa anajiandaa kwenda shule

Hata ukisema umpige ama kumuadhibu haitomfanya aache kama keshajua utamu wake, cha zaidi ndio utamhamasisha afanye zaidi, kuna kitu wazungu husema 'thrill of the illicit'.
Ni wazi kapevuka kiasi cha kuelewa utamu wa puchu. Hapo kubwa la kufanya ni kukaa nae chini na kumueleza athari ya hicho kitendo anachofanya, ikiwezekana umuonyeshe hata articles za mitandaoni zinazoonyesha madhara ya kujichua.

Adhabu pekee unayoweza kumpa kwa sasa ni ku limit muda wake wa bafuni na kumpiga marufuku kujifungia kwa ndani chumbani. Hii itamuweka katika watch out ya kutofanya mchezo wake kwa uhuru.

On the brighter side, shukuru Mungu umemkuta akifanya anachofanya kuliko kumkuta akifanya vitendo vya kinyume na maumbile yake maana kwa dunia ya leo utandawazi umeharibu watoto hasa wa kiume.
 
Inaumiza sana...kuna mtoto wa 13yrs akishika simu ya dada wa kazi anaingia google anasearch jinsi ya kumpenda mwanamke😌
Hapana muache
Bora hivyo. Vipi kama angekua anaangalia namna ya kuwa shoga. Mimi nilianza mapenzi miaka 9 kwenye 1980's. Ni urijali inapendeza. Kikubwa aanze kufundishwa masuala ya afya ya uzazi. Hakuna kuficha kitu.
 
Umpige kwa kosa gani hapo?

Kwa sababu umemuona? Ataendelea kufanya bila wewe kumuona kwa sababu hizo ni hisia za mwili wake na hazizuiliki.

Sijajua lengo la muumbaji wetu kutupa huu uwezo kama wakati wa kuutumia ni bado ni lipi.
 
Pisi ya ghali kabisa kuopa uliilipa kiasi gani mkuu??
20000 ila kuna moja hio songea niliinunulia Heineken's zaidi ya kumi AF sikuichallenge kipindi hicho rate mpya za mama samia zilitoka zile za 150000 AF nikapas night 23 kipindi cha sensa nakumbuka aisee imagine una million 3 za kuGO tu
 
Mihemko haitulizwi kwa kipigo mkuu, ugonjwa wa hisia hutibiwa kwa hisia. Instead ya kumfanya ajihisi vibaya, ungemueleza ukweli kwa sababu inaonekana kapitia mazingira yaliyomkuza mapema,
kwa hiyo ana data mbovu nyingi sana ambazo hazisafishwi kwa kipigo bali kumfanya akuamini ili umpe maelezo sahihi

Wakati ukuta mkuu, huwezi pambana nao ila kuendana nao. Tuliza hisia na utumie akili zaidi vinginevyo utaharibu zaidi
 
Back
Top Bottom