USHAURI: Nimemkamata mtoto wa miaka 11 anajichua bafuni akiwa anajiandaa kwenda shule

USHAURI: Nimemkamata mtoto wa miaka 11 anajichua bafuni akiwa anajiandaa kwenda shule

Ni mtoto wa kaka yangu naishi nae hapa hasa kwa lengo la yeye kusoma maana mkoa nilipo una shule nyingi.

Darasa la nne hadi la tano alikuwa anasoma boarding, kwa sasa yupo kwangu anasoma day ya karibu std 6.

Ni mtoto mchangamfu, mcheshi, mpira anacheza na uwezo wa darasani si haba.

Leo nikiwa nataka niende kwenye shughuli zangu niliona bafuni kuna mvuke (huwa nawasha heater mara chache sana) nikawa nasikia maji ya bomba la mvua yanatoka ikiashiria kuna mtu anaoga, nikaenda room ya karibu ya dogo nikaona uniform zake bado zipo, nilichukia maana mda ulikuwa umeenda ni saa mbili kasoro na bado hajaenda shule.

Kuna namna naweza kufungua ule mlango wa bafu nayojua mimi hata mtu akiwa kajifungia.

Nilipofungua nikaona dogo kajilaza chali utadhani yupo kitandani, kafungulia maji ya bomba la mvua, zoezi linaloendelea anapanda na kushuka mnazi.

nilistaajabu na kuhamaki nikiwa siamini nachokiona kwa mvulana mdogo kabisa kufanya hayo mambo.

Nilipozi pale kama sekunde 10 hivi natikisa kichwa, dogo kageukia ubavu kaficha aibu.

Nikaondoka bafuni hapo nikamwambia anikute sebleni, nikiwa sebleni nikafikiria nimtembezee kipigo hevi lakini nilipofikiria kitendo alichofanya kina undugu mzito sana na uraibu unaotesa hadi watu wazima nikatulia nisijue cha kufanya, niliondoka kwenda kwenye shughuli zangu.


Ingekuwa kwamba hajatandika kitanda, hajaosha vyombo, hasalimii, hajafua uniform, katukana, kapasua tv, n.k. haya makosa ni kuonya, kukaripia na bakora lakini hii ya leo ni tofauti, hapa tunazungumzia uraibu ambao unatutesa hadi watu wazima, sio rahisi kuuondoa kwa stiki ama kugombeza ama kukanya.

Naamini ha kwamba samaki ukimkunja akiwa mbichi ni rahisi kuliko akikauka, huyu bado ni mtoto na kuna chance ya kumuokoa mapema.

Nimefikia muafaka nikae nae chini nimueleweshe, Sasa naombeni ushauri wa namna gani naweza kumuelimisha huyu mtoto aache hii tabia ?

Naombeni techniques za kumshauri mtoto ambae bado hata uwezo wake wa kuielewa hii dunia bado upo chini nimueleweshe kwa urahisi kwamba anachofanya si sawa na aache, siwezi kumshauri kama mtu mzima inabidi uwe nimshauri kwa kuzingatia utoto wake.

Punyeto ina madhara makubwa, magazeti kama fema yaliwahi kuwapotosha vijana kwamba haina madhara, Leo hii hao vijana kutwa wanasumbuka kufatilia tiba ya matatizo yaliyowakumba.
Mwanaume YEYOTE ambaye hajawahi kujichua huwa na hatihati ya kumaliza mwendo njiani

Kijana anajiamini huyo. Mtafute funzadume amuunganishe na chama lao la CHAPUTA😀
 
Ukitaka kuchochea moto ni wewe mwenyewe, napia ukitaka kuuzima moto ni wewe pia, sasa katia ya hizi njia mbili chagua ni ipi sahihi yeye matokeao chanya makubwa maana njia zoote zina positive side na negative side but it's depending on you....
 
Huna rafiki au jamaa yoyote daktari au mtaalam ambaye anaweza kutunza siri umpeleke mzungumze na dogo?!... Namaanisha (mwanasaikolojia, mtaalam na mbombezi)

Kupiga mtoto sio suluhu, ni upuuzi na ufinyu wa fikra... watumiaji wa maamuzi ya kupiga ni watu ambao uwezo wao wa kufikiri huishia hapo. Yeye anaona suluhu ni kupiga. Kuna makosa huonywa kwa kupigwa ila hilo HAPANA. mazungumzo ya kina inabidi yafanyike tena kwa siri.


Mtoto aeleweshwe tu madhara ya punyeto baadae. Na hiyo inaonesha wazi mtoto amekua sasa! Mshkuru mungu hajawa shoga. Na uanze kumuweka mambo wazi kwamba dunia imeharibika. Ni vyema ukamuelekeza/ukamfundisha ngono salama na asiwe muoga kwa wanawake.

Pia asijisahau kwenye majukumu yake kama mtoto wa kiume/kijana wa kiume... Namaanisha shule na shughuli ndogondogo ambazo zitamjenga kama mwanaume au BABA wa kesho.


USIMPIGE MTOTO! USIMPIGE MTOTO! USIMPIGE MTOTO!
 
Nyeto mara nyingi inakuwa baada ya mtu kuangalia porn, je huyo mtoto ana access ya kuangalia porn, ukiweza ku control accessibility yake kuangalia porn, umeondoa tatizo kwa sasa.

Kumpunguzia access sio lazima kumkataza kutumia simu/ laptop nk, weka parental controls kwa kila electronic device atakayotumia.
 
usimuadhibu moja fanya haya
moja muulize amejifunza wapi
mbili anamuda gani.toka aanze kufanya hiko.kitu
tatu tambua marafiki zake wa siku zote
nne nenda nae kituo cha afya ujue madhara alioyapata
tano mfundishe maana yake baada ya hapo muelkeze madhara yake hapo mwisho mwambie aache
Hizo zote ni vurugu za aibu mnataka kumletea mtoto

Huyo ni kwamba ameshabalehe
Apewe elimu ya afya ya uzazi na mumfundishe kuiheshimu kama kutojihusisha na zinaa basi
 
Inaumiza sana hii Uncle bright . Nimekutana na familia zaidi ya 10 kwa mwaka huu mpya tuu zenye tatizo hili 4 ikiwa ni watoto wa kike below 14 years namshukuru Mungu nimeweza kutoa ushauri na kuwasaidia watoto wao.

Mpeleke mtoto kwa msaikojia-mshauri, akiwa daktari haswa daktari wa watoto au mwalimu au msaikolojia wa ukuaji na makuzi ya mtoto atamsaidia sana.
Pia mpleleke kwa miezi wa imani yenu awe shehe, padre au Mchungaji ataongea nae katika angle nyingine ya kiroho itakayomsaidia sana.

Ukichelewa hapa unawezakuja kushangaa ameanza kufanyiwa na kufanyia wenzake

Mungu tusaidie
 
Kama anapigaa nyeto bila kuangalia picha za ngono huyo unaweza mshauri akaacha maana vichocheo mpaka atumie nguvu sana kuvuta hisiaa... so kama ana access ya ponoo mfanyee asizipate lakini pia kaa nae mshaurii kwa kumpa maneno ya kibiblia na mwambie juu ya madhara ya kupiga nyeto...

Anyway amewahi sana kuanzaa huyo dogoo hadi afike utu uzimaa mashine itakuwa ishasinyaaaa.

Pole sana maana kuacha nyeto sio kitoto
 
Huyo muonye sana unajua japo wengi wetu tumepiga nyeto ila haikuwa kiivo na style kama huyo dogo huyo kajifunzia kwenye sim au tv kunyetuka kitu ambacho ni hatari zaidi mkanye maana yupo kwenye form ya kuiga mavitu ya ovyo akiendelea lazma aliwe kinyeo na masela
 
Back
Top Bottom