Polisi trafic akalipa mil 10? Serious?Fikiria hili tukio. " Police mmoja, trafiki, na mbwembwe zake alikamata gari ya jamaa. Jamaa akashuka na police akapanda ile gari na kuipeleka central police. Jamaa palepele akaingia benki kwenye account yake akachomoa 10M akaweka anapojua. Akafuata gari yake fasta police. Alipokabidhiwa gari akadai haoni mzigo wake katika bahasha aliyoiacha ndani ya gari, 10m. Kufupisha maelezo, kusovu tatizo wakataka ushahidi benk; ikaonekana mda uleule jamaa alikuwa ame-withdraw kiasi hicho cha fedha. Bila ubishi police aliingia hatiani akalipa ile fedha".
Ishauri sasa, weka chini hiyo wallet, sepa.
Mazingira ndio yatakuweka salmaNina maanisha kwamba, kama Ile receipt iliambataana na hizo pesa nikiwa na maana zimetolewa kwaiyo kama zilikuwa kwenye bag na ndani ya bag Kuna wallet nahisi itakuwa rahis kusema nimeibiwa pesa nyingi Zaidi kwasababu iyo wallet ilikuwa kwenye bag lenye pesa mana nilikuwa nimetoa pesa na receipts zote zipo kama ushahidi.
huna akili hata za kuvukia barabaraHakuna wallet inayoweza kuhifadhi kiasi hicho cha pesa. Millioni 45 labda mkoba.
Risit bwana sio milioni taslimuWallet inakuwaje na mil 10?umeiokotea wapi ,katika mazingira gani?ni wewe tu umeiona?kama kweli msamalia mwema peleka polisi
πππππJamaa hajaelewahuna akili hata za kuvukia barabara
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo.πππππJamaa hajaelewa
Mchafuzi wa lugha, mzee kifimbo cheza kazeeka la sivyo ungekiona π€£Hata akiipeleka polisi, hiyo hamsa polisi watatia kwapani kisha mwenyewe ataitwa aje kuchukua maratasi yake.
Muhimu hapo chukua hamsa yako, hiyo wallet mpe bodaboda wale wanaovaa ndala moja inaning'inia(vishandu) mwambie apite kituo cha polisi na ukali kisha aitupie kituoni halafu atembee na ukali.
Anahofia usalama wake,.Kijana rudisha vitu vyangu kumbe we ndio unavyo
Nguvu ya ulimwengu imempa kibunda kijana eti πUniverse imekupa hela ya chai na wewe unataka kurudisha? Haya.
haha π ni kweli watekaji wamekithiriAnahofia usalama wake,.
Hata Mimi,bila shaka ningepatwa na hofu tena hofu ya wayahudi...haha π ni kweli watekaji wamekithiri
situation inatokea umeokota wallet ina pesa na IDs kuitumia unaogopa kurudisha pia unaogopa, kurudisha ulipoiokota napo unaona ni ushamba π³Hata Mimi,bila shaka ningepatwa na hofu tena hofu ya wayahudi...
Umesoma alichoandika?Hakuna wallet inayoweza kuhifadhi kiasi hicho cha pesa. Millioni 45 labda mkoba.
Cha kuokota sio cha kuiba mkuu.Nimeokota wallet ina pesa kiasi cha elf 50,000 ila ina risiti ya miamala ya Milioni 45 pamoja na Milioni 10m. Tarehe ni siku niliookota, ndani kuna pia kitambulisho cha bima, nk.
Nahofia kurudisha anaweza kunibambikia kesi ya kupoteza pesa zake!
Nahisi anaweza kusema wallet ilikuwa na pesa hizo.
Naombeni ushauri.
Kuna yule jamaa wa futuhi wa kuitwa "Wa kukurupuka" soma vizuri alichoandika mleta madaHakuna wallet inayoweza kuhifadhi kiasi hicho cha pesa. Millioni 45 labda mkoba.