Ushauri: Nimeokota wallet yenye Tsh. 50,000 pamoja na risiti za miamala ya pesa nyingi nahofia kurudisha nahisi naweza bambikiwa kesi

Polisi trafic akalipa mil 10? Serious?

Basi walikuwa sio makini , risiti ya bank inaoneaha umetoa hela saangapi,pia bank huwez toa hela dakika hio hio labda mikoani huko

Pia police aliendaje na gari police pekeake . Hio wangepeleka mahakamani hashindi huyo jama
 
Mazingira ndio yatakuweka salma

Lakini Kama unahisi hivyo basi hivyo vitu achana navyo . Toa hela wallet kaiache barabarani itupe .

Hio hela usiitumie ,ukiwezekana kaitolee sadaka yote usitumie
 
Mchafuzi wa lugha, mzee kifimbo cheza kazeeka la sivyo ungekiona 🀣
 
Uko wapi nikupe akili?

Hivyo vitambulishi majina ya dini Gani?

Sijakwambia uchukue elfu hamsini ila hizo risiti na vitambulishi na wallet peleka kanisani.

Viache hapo
 
Ni wallet yangu Kama unaogopa ntakumbambikia kesi basi nenda kwa wakala nitumie hiyo 50k yangu alaf wallet tupa hapohapo
 
Tumia hela hivyo vingine tupa wataokota wengine
 
Hata Mimi,bila shaka ningepatwa na hofu tena hofu ya wayahudi...
situation inatokea umeokota wallet ina pesa na IDs kuitumia unaogopa kurudisha pia unaogopa, kurudisha ulipoiokota napo unaona ni ushamba 😳
 
Cha kuokota sio cha kuiba mkuu.

Tumia hio Fedha kiasi kwa kuwasaidia watu wanaoishi kwenye mazingira magumu inayobaki fanyia mambo yako.

Hapo utakua umejitakasa kwa sababu ukiirudisha unaweza kubambikiziwa kesi nzito kama ukabaji ama kuvunja na kuiba
 
Hakuna wallet inayoweza kuhifadhi kiasi hicho cha pesa. Millioni 45 labda mkoba.
Kuna yule jamaa wa futuhi wa kuitwa "Wa kukurupuka" soma vizuri alichoandika mleta mada
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…