Anatetema huko aliko kama mbwa aliyeloa majiHuyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
Asilimia 80 wenye ngwengwe huwa wana tabia flan flan ..amini hiliMmhhh.....kumbe ndio maana watu wanakua na ID mbilimbili
Wafukua makaburi ni noma aisee
Hahahah hii ndio jfMmhhh.....kumbe ndio maana watu wanakua na ID mbilimbili
Wafukua makaburi ni noma aisee
Pole yake huko alipo ila anaweza kwenda kwenye kituo chochote cha afya akapima hii itamsaidia kujua afya yake ipoje akiwa negative atachukua tahadhari ila akiwa positive ajue kuna mbaazi zinamhusu mpaka anaingia kaburini. Maana unaweza shiriki tendo la ndoa na mwanamke ambaye ni positive na usipate kimbembe kinakuja kama huyu Hazard CFC kalala na huyu mwanamke zaidi ya mara moja uwezo wa kuwa ameungua ni 99% hiyo moja amuachie Mungu.Anatetema huko aliko kama mbwa aliyeloa maji
LooohπππAsilimia 80 wenye ngwengwe huwa wana tabia flan flan ..amini hili
Unakuta mtu anajisifia..ohhh unakulaje pip na maganda..ooh.mim situmii ndom .ndom ni kama masterbation.....amini hil
Yeah kweli asilimia kubwa ya matokeo tunayopata yanatokana na vitabia flani tunavyochukulia poaAsilimia 80 wenye ngwengwe huwa wana tabia flan flan ..amini hili
Unakuta mtu anajisifia..ohhh unakulaje pip na maganda..ooh.mim situmii ndom .ndom ni kama masterbation.....amini hil
Mzee Wa "Simba Kapakatwa na makaburi ya kimong'onyole" unashindilia loohππPole yake huko alipo ila anaweza kwenda kwenye kituo chochote cha afya akapima hii itamsaidia kujua afya yake ipoje akiwa negative atachukua tahadhari ila akiwa positive ajue kuna mbaazi zinamhusu mpaka anaingia kaburini. Maana unaweza shiriki tendo la ndoa na mwanamke ambaye ni positive na usipate kimbembe kinakuja kama huyu Hazard CFC kalala na huyu mwanamke zaidi ya mara moja uwezo wa kuwa ameungua ni 99% hiyo moja amuachie Mungu.
Jf ni zaidi ya chuo cha unabii.Laana yako imetimia [emoji848]
Namuona jamaa akipitia uzi ule akiwa ndani ya shuka haamini anachokiona mbele yake. Na hii kasumba ya kusema ugonjwa huu ni wa nadharia utawaghalimu vijana wengi mno, sisi kama taifa tunapoteza nguvu kazi kubwa mno ona sasa huyu Hazard CFC siku akiaza kubugia donge kubwa kama harage kila siku ndio atajua ukimwi upo kweli ππMzee Wa "Simba Kapakatwa na makaburi ya kimong'onyole" unashindilia loohππ
Tangazo lako halijakaa vzr kwa dar hutapata mjeta sisi wachovu sana
Mkuu Hazard CFC kwema?
[emoji3][emoji3][emoji3]..Aisee JF bhana
Huyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
Mmhhh.....kumbe ndio maana watu wanakua na ID mbilimbili
Wafukua makaburi ni noma aisee
Mwana muda huu kama kaloeshwa na maj barid..kajikunyata huko aliko
Mzee Wa ukuta mrefu Wa "kimong'onyole" Kwani ww hukwenda PM?!!!ππNamuona jamaa akipitia uzi ule akiwa ndani ya shuka haamini anachokiona mbele yake. Na hii kasumba ya kusema ugonjwa huu ni wa nadharia utawaghalimu vijana wengi mno, sisi kama taifa tunapoteza nguvu kazi kubwa mno ona sasa huyu Hazard CFC siku akiaza kubugia donge kubwa kama harage kila siku ndio atajua ukimwi upo kweli ππ
Wakuu naona mnajadili Hazard CFC kimzaha, hili sio jambo la kuvutia badala yake tumtie moyo kwani hili jambo linahatarisha uhsi wake.Namuona jamaa akipitia uzi ule akiwa ndani ya shuka haamini anachokiona mbele yake. Na hii kasumba ya kusema ugonjwa huu ni wa nadharia utawaghalimu vijana wengi mno, sisi kama taifa tunapoteza nguvu kazi kubwa mno ona sasa huyu Hazard CFC siku akiaza kubugia donge kubwa kama harage kila siku ndio atajua ukimwi upo kweli [emoji23][emoji23]
Hapana mkuu nimeridhika na mke wangu kwa sasa, sitaki nyama za nje maana muonekano na utamu ni uleule kwanini nijipeleke machinjioni wakati najua muda wowote panga linapita shingoni. Hiki kijiji cha JF sio salama kabisa muhimu kuchukua tahadhariMzee Wa ukuta mrefu Wa "kimong'onyole" Kwani ww hukwenda PM?!!!ππ
Wenye kujuana nje ya JF ,ndio wanahema hema sasa hiviJf ni ya kuogopa sana, humu watu wamebadilishana sana risasi.
Naomba nisiongee mengi lakini ninayoyafahsmu ya humu yanatisha sana
Haswaa....Hapana mkuu nimeridhika na mke wangu kwa sasa, sitaki nyama za nje maana muonekano na utamu ni uleule kwanini nijipeleke machinjioni wakati najua muda wowote panga linapita shingoni. Hiki kijiji cha JF sio salama kabisa muhimu kuchukua tahadhari
Ooo Kumbe Wewe Humjui mtu nje ya JF eee?hongera ila ujue hiyo ni CHAIN...huwenda nyororo la JF limefika mpaka ShanghaiππWenye kujuana nje ya JF ,ndio wanahema hema sasa hivi
Huu ndio ushauri au umetukana?Endelea kucheat , nadhani una nyota ya ngoma wewe