Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu....[emoji88][emoji88][emoji88]
Kilo zinaanza kupungua sasa[emoji88][emoji88][emoji88]
Doh maskini HazardHivi unaanzaje kupiga demu uliyekutana nae mtandaoni bila ndom au kupima?
Jf inaweza kuwa kama Badoo Lovoo na Hi5!
Huwa nashangaa sana 'wavulana' wanaoshovokea fake id hizi zenye avatar fake pia! Pole sana Hazard popte ulipo
[emoji848][emoji848]duuuhMkuu....
Minaunga mkono hii hoja
Namuona jamaa akipitia uzi ule akiwa ndani ya shuka haamini anachokiona mbele yake. Na hii kasumba ya kusema ugonjwa huu ni wa nadharia utawaghalimu vijana wengi mno, sisi kama taifa tunapoteza nguvu kazi kubwa mno ona sasa huyu Hazard CFC siku akiaza kubugia donge kubwa kama harage kila siku ndio atajua ukimwi upo kweli [emoji23][emoji23]
Mtukumbushe kumuhusu Hazard CFC
Pole yake huko alipo ila anaweza kwenda kwenye kituo chochote cha afya akapima hii itamsaidia kujua afya yake ipoje akiwa negative atachukua tahadhari ila akiwa positive ajue kuna mbaazi zinamhusu mpaka anaingia kaburini. Maana unaweza shiriki tendo la ndoa na mwanamke ambaye ni positive na usipate kimbembe kinakuja kama huyu Hazard CFC kalala na huyu mwanamke zaidi ya mara moja uwezo wa kuwa ameungua ni 99% hiyo moja amuachie Mungu.
Huyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mafala sana ninyii....chuma kipo imara hikiiMkuu Hazard CFC kwema?
Haina shida mkuu ndio ishatokea usisahau kula vizuri kupumzika na kumrudia muumba wako! Kwa maana hii sredi inafikirisha mkuuDoh maskini Hazard
Chukulia Poa tu rafiki
Mkuu hebu naomba uniache kwa sasaBila shaka umepitamo na wewe 😄
Bora hta umwambie mwnyw mhusika..me sijapita kabisaaUnapiga ramli tu.
subili walete nyodoWataje
Kama nakuona vilee....na mambo ya kulee world wide
Aisee! Naacha ubazaziKama nakuona vilee....na mambo ya kulee world wide
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wamekukamia mzee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mafala sana ninyii....chuma kipo imara hikii