Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Nataka niache pombe nianze kunywa whisky tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na uangalie ule mtindo wako wa kuchanganya mapombe makali na vitu vya ajabu utazikwa soon
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka niache pombe nianze kunywa whisky tu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na uangalie ule mtindo wako wa kuchanganya mapombe makali na vitu vya ajabu utazikwa soon
Hahahah KY tu inatosha sio 🤣🤣🤣Zinipite tu sipo tayariii....
Mimi nikishaweka mafuta yale nateleza tu
😁😁😁 😀😀
Pole sana kumbuka kula matunda kwa wingiMkuu hebu naomba uniache kwa sasa
Si ya kucheka haya, itabidi nitafute mmoja wa kutulia nae!![emoji16][emoji16][emoji16] [emoji3][emoji3]
Waswahili wanasema ajali kazini ila kwa sasa tufurahie mema ya dunia 😀😀😀
PM yako iko wazi?Waswahili wanasema ajali kazini ila kwa sasa tufurahie mema ya dunia [emoji3][emoji3][emoji3]
Ukija kusettle hubabaiki
Ajali kazini,
Samahani mkuu, lakini tuwe na kauli nzuri na jengefu kwa wenzetu, ungali hai wewe na huijui kesho tafadhali..Hamu zako ndio zimekupa ulichokua unakitafuta.
Sijamaanisha kwangu, wewe endelea na pigo zile
Nope jibu la swali mkuu! "Unajitaja wewe huhusiki, kwani mimi polisi nimekuja kukamata vibaka?"Sijamaanisha kwangu, wewe endelea na pigo zile
Mie sihusiki
Kwamba hii forum Melo na wenzie waliianzisha kwa ajili ya wanaume tu?Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
Anashangaza sana huyu.Kwahiyo wewe mwanamme mwenzangu upo hapa unawinda wanawake?
Upo mjini mkuu ?Hahahah KY tu inatosha sio [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We na we bado uko enzi za zama za mawe? Elimu ipo online, shuleni hata vijiweni bado una msimamo wa kwamba kufanya ngono sana ni kujipa HIV?Hamu zako ndio zimekupa ulichokua unakitafuta.
Nmechomoka kidogo niko upcountry! Sema weekend ijayo naweza kuwa town mkuu🤣Upo mjini mkuu ?
Imefungwa mkuuNope jibu la swali mkuu! "Unajitaja wewe huhusiki, kwani mimi polisi nimekuja kukamata vibaka?"
Sent using Jamii Forums mobile app
KabisaaaWe na we bado uko enzi za zama za mawe? Elimu ipo online, shuleni hata vijiweni bado una msimamo wa kwamba kufanya ngono sana ni kujipa HIV?
Tungekufa wengi.