Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba hii forum Melo na wenzie waliianzisha kwa ajili ya wanaume tu?
Watu wengine sijui mnawazaje!!!
Huyu demu kaleta Uzi mwingine akisema yuko positive! Kwenye Uzi amekiri amefanya Mara kadhaa bila kinga. HATARI!Hahaaa watu kwa kufukunyua mambo hamjambo
🙄🙄Endelea kucheat , nadhani una nyota ya ngoma wewe
Nitafute kuna kitu nikwambie! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]Imefungwa mkuu
Maana ubabazazi wako nowma
We jamaa... unajua kashaabdika confesion ya hii kitu..!!
Nikipata muda wa kutype na kuchat Kwa muda mrefu nitakufuata mwenyewe pmYaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?....
Si anawapa presha waliompitia sasaHuyu demu kaleta Uzi mwingine akisema yuko positive! Kwenye Uzi amekiri amefanya Mara kadhaa bila kinga. HATARI!
sijui tukuite nabii?? maana uliyoyasema yametimiaEndelea kucheat , nadhani una nyota ya ngoma wewe
Noma hii mzee wa pornoLaana yako imetimia [emoji848]
Chai ya Tangawizi na vitunguu saumu mara KWA mara inaongeza Sana ham ya hizi makituNa hii ndo imekuwa pona yangu.
Mkuu bado humtakii mema mwenzio..nyege zimemponza..wewe bado unampa maujuzi mengne tena...pepo utaiskia tuu shekheChai ya Tangawizi na vitunguu saumu mara KWA mara inaongeza Sana ham ya hizi makitu
Bado unamuombea[emoji23]?Shikamoo Jamii Forums!
Muhimu tusisahau tu ya kwamba kuna mgombea fulani wa kiti cha Urais, mpaka muda huu bado pumzi yake imekata! Sijui ni lini atarudi kuendelea na kampeni. Hivyo tumuombee.
[emoji15][emoji15][emoji15]Huyu Hazard CFC nae yupo gredi ya taifa, nawakumbusha vijana wengi wa humu muwe makini kwa tathimini nilizofanya naona humu ndani kuna kundi kubwa sana la vijana (ME na KE) wameungua. Ukimwi upo na unaua
ni pm nitakusaidia kumaliza hilo tatizoYaani ninaweza nikatoka kufanya ila ndani ya nusu saa najikuta joto limefika 40.
Hili ni tatizo au ni hali ya kawaida?
Hii hali inanikera sana najitahidi kuwa busy ila nikiwa katikati ya shughuli zangu najikuta napata hamu ya kufanya mapenzi sana.
Mwili unakua na msisimko wa ajabu najaribu kujizua ila imekua ngumu.
Mie nilikua mtu wa hasira nimejifunza kujizuia na nimeweza ila hamu ya sex nashindwa. Mume ninae ila hayupo muda wote na hata akiwepo anaweza kutimiza wajibu na baada ya muda nakua nataka tena.
Hii hali imenipelekea kucheat ila sijapata nafuu.
Wanasaikolojia, wataalamu wa afya ya uzazi na viongozi wa dini naombeni ushauri namna ya kulitatua hili tatizo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mkuuif i could turn back the hands of time...........View attachment 1568375