Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Hahahhaa naleo pia naenda kupiga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wamekukamia mzee
Leo nataka Hornet
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahhaa naleo pia naenda kupiga[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wamekukamia mzee
Anatetema huko aliko kama mbwa aliyeloa maji
Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
Atajua hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Humjui hazard vizuri wewe[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].....
wacha weeMm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mafala sana ninyii....chuma kipo imara hikii
Hivi unaanzaje kupiga demu uliyekutana nae mtandaoni bila ndom au kupima?
Jf inaweza kuwa kama Badoo Lovoo na Hi5!
Huwa nashangaa sana 'wavulana' wanaoshobokea fake id hizi zenye avatar fake pia! Pole sana Hazard popte ulipo
Mimi pombe ndio zitaniua....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakubali bro[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Atajua hajui[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Situmiagi hayo madude...hivi bado yapo?[emoji16][emoji16][emoji16]Hazard mtu imara bana [emoji1787][emoji1787][emoji1787] sidhani kama atakuwa ajatumia kinga
Na uangalie ule mtindo wako wa kuchanganya mapombe makali na vitu vya ajabu utazikwa soonMimi pombe ndio zitaniua....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
Kuna ambazo kazindua GSM zinaitwa Kiss Condoms, naona Idris alikuwa anazi promote jana.Situmiagi hayo madude...hivi bado yapo?[emoji16][emoji16][emoji16]
Muone Gwajima.fikiria yako mkuu ya walimwengu yanakujazia server tu
Umeijulia wapi?Tena ya umeme yenye kujivibrate yenyewe,..
Zinipite tu sipo tayariii....Kuna ambazo kazindua GSM zinaitwa Kiss Condoms, naona Idris alikuwa anazi promote jana.