Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Ushauri: Nina hamu kufanya mapenzi kupitiliza

Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
 
Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
wacha wee
 
Hazard mtu imara bana 🤣🤣🤣 sidhani kama atakuwa ajatumia kinga
Hivi unaanzaje kupiga demu uliyekutana nae mtandaoni bila ndom au kupima?

Jf inaweza kuwa kama Badoo Lovoo na Hi5!

Huwa nashangaa sana 'wavulana' wanaoshobokea fake id hizi zenye avatar fake pia! Pole sana Hazard popte ulipo
 
Haina shida mkuu ndio ishatokea usisahau kula vizuri kupumzika na kumrudia muumba wako! Kwa maana hii sredi inafikirisha mkuu
fikiria yako mkuu ya walimwengu yanakujazia server tu
 
Unaumwa wewe [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mm naamini mwanamke mwenye akili zake timamu na mwenye maadili hawezi kuijua au kujiunga jamiiforums.na hawaipend kwakua haina features kama za IG za kumuwezesha kupost picha......hawa wanawake waliopo huku wapo kwenye mission za mawindo
 
Back
Top Bottom