Ushauri: Nina Milioni 700, nizifanyie nini?

Kweli kabisa hata mimi nimemshauri ajenge nyumba za kupangisha hatopata stress za kupigwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jimmymziray,

Umefanya vyema kuulizia ushauri, lakini kwa haraka haraka tu angalia yafuatayo:

1: Wewe kama wewe bila kushauria na mtu ulikuwa unawaza ufanyie nini?

2: Je unauzoefu au elimu ya kitu gani? maana kwa vyovyote vile utashauriwa uwekeza kwenye shughuli inayozalisha - Biashara nk.

3:Uwe makini maana matapeli wapo na watakufuatilia.
 
kwanza kama ulikua mrithi halali,isingeuza investments ulizridhi ungeziendeleleza ingekua rahisi zaidi, cash as an asset is much risk t keep.
ushauri wangu.
wekeza pesa yako kwenye uwekezaji wa;
MUDA MREFU:
1.Nunua kiwanja jenga nyumba upate pa kuishi kwanza.usijenge nyumba kubwa sana ya kifahari, bana matumizi.
2.Nunua shamba karibu na maene0 ya dsm anzisha ufugaji (Ngombe, mbuzi, kuku n.k)

MUDA WA KATI
1.Wekeza kiasi cha hiyo pesa kwenye fixed account kwa atleast mwaka.
2.Nunua shares dar stock exchange.
MUDA MFUPI.
1.anzisha micro financing (ningekushauri uanzishe ila kama huna inaweza kukusumbua)
2.anzisha biashara ya building materials au spare parts za magari (fanya utafiti wako ila profit margin kwenye hizi biashara ni nzuri)
 
Anaenda kupigwa mtu hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana maisha yametupiga kweliji, mtu hadi unajisingizia utajiri. Kakutana na wana Jf vituko..Ngoja nikae hapa nicheke
 

Take care the hunters might be the hunted
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…