Ushauri: Nioe yupi Kati ya hawa wanawake wawili?

Ushauri: Nioe yupi Kati ya hawa wanawake wawili?

Sijui kwanini natamani umuoe wa kwanza, huyo wa pili week ya kwanza tu anataka mzae? Hapana hebu mpige chini.

Nimempenda wa kwanza anatulia na shida zakw, unataka akuambie matatizo ya kwake au kwao kesho uanze msakama? ngoja akujue vizuri atakuelezea tu.
 
Habari za siku wadau

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu katika mapambano ya kutafuta mwenza wa maisha nimejikuta naangukia kwa wanawake wawili ambao wote naona ni bora wanavigezo vile nilivyokuwa nahitaji.

Mweupe kivipi ebu fafanuwa babaa, au una kauchotara kakiarabu babaa tuambizane basii, ata kapicha nipm 😁
 
Habari za siku wadau

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu katika mapambano ya kutafuta mwenza wa maisha nimejikuta naangukia kwa wanawake wawili ambao wote naona ni bora wanavigezo vile nilivyokuwa nahitaji.
Fata moyo wako brother.......Alf uwe makini sio kuingia kweny mahusiano miez mitatu au week moja unaanza kuwaza ndoa.....sisi wanawake ni watata mno.....take care
 
Ameipenda rangi yako au sio.

Usioe kwanza mkuu mana bado hujui unachotaka, sisi tutakushauri ila kuna mengi unahitaji uyaangalie kwa jicho lako mkuu.
 
Asanteni kwa michango yenu wadau nimesoma yote nazani mmenipa uzoefu mkubwa kuna jambo nimelipata litanisaidia mmenipa ushauri hata kwa yale niliyokuwa sikuyategemea
 
Na miaka 26 siwezi kusema moja kwa moja kuwa mwanamke kanipenda sababu ya rangi ila kwasababu nimemuonesha upendo binti huyu nimeona ana utayari anaonesha matumaini pia wakati nimejuana nae nimeongea nae mambo ya muhimu na ya msingi nimemuhaidi mengi kwa hili nazani ndio imepelekea kuvutiwa na mambo mengine ya kawaida kama muonekano wangu wa nje pia
Miaka 26!!!

Usioe yeyote kwa sasa. Vuta muda.
 
Nilichoelewa katika hiyo miezi 3 hujapewa mbususu lakini unapigwa vizinga vidogo vidogo.

Halafu mwingine ndani ya wiki 1 unapewa mbususu unajipimia.
 
Dah Kuna mwanaume huku anataka kuoa..!!
Dah Kuna watu MNAPENDA shidaa...

#YNWA
 
Habari za siku wadau

Kama kichwa cha habari kinavyosomeka hapo juu katika mapambano ya kutafuta mwenza wa maisha nimejikuta naangukia kwa wanawake wawili ambao wote naona ni bora wanavigezo vile nilivyokuwa nahitaji.

Mimi siku zote nimekuwa navutiwa zaidi na mwanamke ambaye hana tamaa ya vitu vikubwa hapo ndipo nilikuja kumpata binti mmoja hivi miaka 20 mpaka sasa tunamiezi mitatu ya uchumba nilimuhaidi mambo mengi sababu kweli na lengo kumuoa kabisa huyu mwanamke.

Huyu mwanamke hana tamaa halafu ni mzuri sema mazingira ya kwao ni magumu kwa kipato nilikuja kugundua ata chakula kwao hapati milo mitatu nikamuuliza kwanini alikuwa aniambii akasema yeye analizika tu na hali iliyopo mana ndio maisha aliyokulia.

Hivyo nilijitahidi kumpa mahitaji yake yote ambapo pale anaona anakwama ata pale alipoumwa mimi nilikuwa bega kwa bega na huyu mchumb wangu kuna siku alipata homa mama yake akaenda kumchukulia dawa bila vipimo hapo nilipogundua hawakuwa na hela kwenda hospital. Ikabidi mimi nitoe hela akaenda hospital.

Sasa kiufupi huyu binti yeye akiomba hela basi ni ya kusukia tu ama vocha ana aibu Sana ata nikimpigia tuongee huwa haoneshi ushirikiano kuna vitu vingi huwa nahitaji kuvijua lakini hanipi ushirikiano.

Na shida zaidi katika hii miezi mitatu kuja kwangu inakuwa changamoto kila tunavyohaidiana kukutana siku ya jumapili yani sababu lazima itokee mara sijaja sababu ya jambo fulani najaribu tukutane hata sehemu nyingine tofauti na kwangu, bado sababu zinajitokeza ikabidi nimuulize kwanini inakuwa hivi akaniambia mama anavoenda kutafuta anamuachia bibi hivyo anashindwa kutoka.

Sasa huu ni mwezi wa tatu nachojiuliza siku zote yeye yupo bize sitaki kukubaliana na hili mpaka sasa sioni dalili mimi pia nahitaji mahitaji yangu kama mwanaume nahitaji kupata kwa mwanamke naye mpenda.

Mpaka sasa nipo njiapanda sijui nimuache ama niendelee kumpa muda? Mana nimemuuliza kama yupo tayari kuishi na mimi kasema nisijali muda ukifika nitamuoa Imebidi nitafute mbadala ili niweze kupata mahitaji yangu.

Wiki hili nimejikuta nakutana na binti mwingine hapa mtaani ni binti wa huko geita huyu anamiaka 22 huyu naona yupo tofauti Sana na yule mchumba wangu katika hizi siku chache tulizokutana huyu binti amenielewa San.

kila Napo muhitaji anakuja atakama yupo bize na yupo tayari tuanze kuishi pamoja mana inaonekana kaipenda rangi yangu yupo tayari tuzae sasa jana amerudi kwao kusalimia ila nae tumepanga mengi
Oa mwenye mnato. Vigezo vingine tupa huko. Swali la kikuda majibu yake huwa ya kikudakuda!!!
 
Huo unaoita muda mrefu ndio muda sahihi unaoweza kukupa majawabu kadha wa kadha, kujenga urafiki, kutambua malengo n.k

Hadi sasa umeweza kujua tabia chache mathalani hiyo ya usiri kea huyo binti 1, pengine muda ukisogea unaweza ukajua sababu ya yeye kiwa msiri ni ipi, pengine hana watu anaowaamini...
 
Usuri kwenye maswala ya kujenga familia na mahusiano sisi ndo huwa tunajipeleka njia haram na ya miba
 
Sijui kwanini natamani umuoe wa kwanza, huyo wa pili week ya kwanza tu anataka mzae? Hapana hebu mpige chini.

Nimempenda wa kwanza anatulia na shida zakw, unataka akuambie matatizo ya kwake au kwao kesho uanze msakama? ngoja akujue vizuri atakuelezea tu.
1 ndo wife material.
 
Back
Top Bottom