Ushauri pls

Ushauri pls

Habarini za asbh wana MMU
kuna rafiki yangu anahitaj ushauri nimeona nilete kwenu mtamsaidia, amechukua mkopo benki wa tshs 8000000 (milion nane) ambazo atakatwa kwenye mshahara wake kwa muda wa miaka miwili, lkn mpaka sasa yuko kwenye dillema hajui afanye kitu gan na hzo pesa, hana kiwanja, anataman kufungua biashara. Lkn mi nikamshauri aachane na biashara kwanza kwa sbb pesa itaweza potelea yote huko na atapata maumivu ya kukatwa mshahara kwa miaka miwili.

Naomba mumshauri na nyie jaman.
Kiokote

Anunue boda boda 5
 
Ngoja nikushauri kwa hasira,kwa niaba ya rafiki yako! Nimetanguliza hasira kwa kuwa mara nyingi resources zinatakiwa kumfuata mtu mwenye vision na sio vision kumfuata mwenye resource...hii ni kanuni ya asili!

Cha kufanya sasa anaweza kuwaona Consnet Group Limited walio Tancot House 1st/3rd Flr. Sokoine/Pamba Rd Dar es Salaam ambao ni wataalamu wa kilimo cha kisasa, mwone ndugu Sanctus Mtsimbe na timu yake watakushauri accordingly kisha utarudi hapa kutupa mrahaba!

Karibu anytime: 0755 285 023 c/o Philip
 
aende kwa mganga wa kienyeji amuulize azifanyie nn.au anitumie mm nimnunulie pweza..
 
Ladykiokote mawazo yangu ni yafuatayo:-

Ki ukweli ni kwamba kuchukua mkopo bila kuwa na plan ni tatizo ila kwa vile ishatokea tuiweke pembeni

Cha msingi ni ajaribu kutulia kwanza na hiyo pesa japokuwa ukiwa na pesa matatizo na vishawishi vinaongezeka

Kama anataka kufanya biashara:

Kama anataka kufanya biashara aangalie tatizo katika jamii inayomzunguka kisha atengeneze solution inayoendana na capital aliyonayo. Kuna njia kuu mbili za kupata tatizo

1. Under served market (Anything of interest anaweza pata faida)
2. Total new market

Kama anafikiri biashara ya kukopesha ataimudu, poa afanye. Biashara yeyote ni changamoto ndio maana si kila mtu anafanya. Haitakuwa rahisi lakini furaha inakuja pale atapoweza kuifanya iwe rahisi na hatimae kupata faida

Other forms:

1. Anaweza jifunza kuhusu government bonds and bills kisha akainvest pesa hizo wakati anasubiri wazo
Hii ni moja ya risk free investment kwa pesa yako. Kwa nini? well, ni kwa sababu ni serikali

2. Find a bank that pays a good interest rate kisha aiweke. Itazaa badala ya kukaa tuu

3. Asome na ajiongeze. Something might come up

Note: Asikate tamaa. Makosa ndio mwazo wa kujua
 
Ndio maana hata serikali yetu inakopa sana na haijui kipaumbele ni kipi?
 
Ladykiokote mawazo yangu ni yafuatayo:-

Ki ukweli ni kwamba kuchukua mkopo bila kuwa na plan ni tatizo ila kwa vile ishatokea tuiweke pembeni

Cha msingi ni ajaribu kutulia kwanza na hiyo pesa japokuwa ukiwa na pesa matatizo na vishawishi vinaongezeka

Kama anataka kufanya biashara:

Kama anataka kufanya biashara aangalie tatizo katika jamii inayomzunguka kisha atengeneze solution inayoendana na capital aliyonayo. Kuna njia kuu mbili za kupata tatizo

1. Under served market (Anything of interest anaweza pata faida)
2. Total new market

Kama anafikiri biashara ya kukopesha ataimudu, poa afanye. Biashara yeyote ni changamoto ndio maana si kila mtu anafanya. Haitakuwa rahisi lakini furaha inakuja pale atapoweza kuifanya iwe rahisi na hatimae kupata faida

Other forms:

1. Anaweza jifunza kuhusu government bonds and bills kisha akainvest pesa hizo wakati anasubiri wazo
Hii ni moja ya risk free investment kwa pesa yako. Kwa nini? well, ni kwa sababu ni serikali

2. Find a bank that pays a good interest rate kisha aiweke. Itazaa badala ya kukaa tuu

3. Asome na ajiongeze. Something might come up

Note: Asikate tamaa. Makosa ndio mwazo wa kujua

Ubarikiwe, mawazo mazuri sana.. asante mno
 
Back
Top Bottom