Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
Apeleke watt Kwa bibi mzaza baba au km ana dadaDah! Jamaa kawa Kama vile kachanganyikiwa
Ila huyo dada anataka kuvunja ndoa ya jamaa YakoWalipokua Kwny mahusiano alimwonesha anapoishi, na madam alijua fika jamaa anaishi mwnyw bila mke, lilivozuka suala la kung'ng'ana ahamie kwa Jamaa, ikabd jamaa afunguke wazi kua kaoa, na pale sio kwake, Bali kwake na mkewe alieko mkoani, hivyo hawawez kuishi nyumba iyo pamoja.
Imagine jmn.Sometimes mnalaumugi hawa wanawake tu hata kwa makosa ya chululuu zenu.... Men you gaa yo family already, Then instead of focusing on caring of your family and future unaanza kutangatanga tena nje. Okay no problem you decided to be a hoe basi tumia kinga au acha kumwagia mwagia ndani kama mpumbavu... So sad unakuta mtu kama huyu ndo tunaekewa awe viongozi fulani aongoze vichwa zaidi ya vitano wakati hata kichwa chake cha chululuu kimemshinda.
Muambie huyo jamaa hayo ndo matokeo ya kuendekeza hamu za kimwili.
Nipo. Mambo?!Upo?
Mwalimu kabisa,🤣me mwenyewe kanishangaza
Fresh tu, nakuona kwa nadra sana.Nipo. Mambo?!
Huyu mchepuko Hali ya kiuchumi haimhusu, inamhusi mkeNakaziaaa kaangaika kote huko kutafuta punguzo.
DADA ZANGU, Mwanaume kama anajitoa kuhudumia na unajua hali yake ya kiuchumi sio vizuri kupelekana ustawi wa jamii. Wengi wana huu ukichaa waache madhara ni makubwa kuliko faida.
Mchepuko kapanda cheo kawa mama mzazi wa wanae.Huyu mchepuko Hali ya kiuchumi haimhusu, inamhusi mke
Mchepuko wanaangalia hela tu ndo huyu mwalim ss
Inakuingia akili mwalim afanye mambo yakipuuzi
Na Huo Ndo ukweli wengi wasopenda kuusikiaWanaume wanaparamia vichaka wasivyovimudu kwa tamaa zao, na hiyo malayyer shida yake avuruge hiyo ndoa waachane na ndo maana ameona alete watoto ili mke wa jamaa ipo siku atajua, na akijua ni mtoto utawaka, hiyo mallayyer inahisi kule wakivurugana mwanaume ataamua kurudisha mahusiano kwake. Jambo ambalo wanawake wengi ambao hawajaolewa wanalitamanigi sana ila hawajawai kujua mume wa mtu anakutamani tu kwa muda na huwa hawatamani kuyakanyaga kama jamaa ake DeepPond alivofanya
yaaani ni kitukoMwalimu kabisa,🤣
Ss ile 70 ua ustawi Kwa mwezi ilikuwa ndogo ,akagundua kuwa kachemka Bora angebaki na ile 10-20 Kwa siku, akaona aende ss ofisini,so kutoka 70 mpk 150 Kwa mwezi ni nyingi
vipi bado mtoto yuko kwakoMi Happ naona binti hata hajatumia akili
Nipo sana rafiki.Fresh tu, nakuona kwa nadra sana.
Ndo maana Mpwayungu Village anawadharau walimuMi Happ naona binti hata hajatumia akili
Imagine, mwalim kabisa!Yaani mwanamke haoni umuhimu wa kuwa na watoto? Huyo atakuwa ni kichaa kabisa.
Kuna mpuuzi mmoja ananiambia masuala ya mtoto lakini hataki kuleta nyaraka muhimu za mtoto nimfungulie akaunti na bima ya afya ila anataka pesa kwa ajili ya ada ya shule.
Namwona kama punguani, ndo sampling ya huyo mwalimu.
🤣🤣🤣 Nimechekahivi kazini mtu akate hela yangu, yaani atajuta nitakachomfanya
Huyo mdada ukute ni Malaya tu Hana Cha kupotezaNiamini mwanaume hajawahi kuaibika engo hiyo.
Hapo atalitatua kwa hali na mali, na uchumi utarejea lkn upande wa mwalimu historia imebadilika na ajicheza ndoa inaweza kuwa ngumu...
SanaaaWatoto wa zinaa usumbua sana kwenye ndoa usioane nao